Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Till Mpesa,nipo mlowo mbozi haina matatizo inafanya kazi vizuri na haijafungiwa_0757658783
0 Reactions
3 Replies
909 Views
ina cc 1290 kilomita zake zinasoma 89000 Vibali vyote viko poa..gari haina shida yoyote... Bei ya kuuzwa ni 8.8mln Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 dar(kwa wale wateja ambao ni serious tu) OvA
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wadau habari zenu naombeni msaada natafuta chumba cha kupangisha Tanga mjini maeneo karibu na mjini kama nguvumali,kwa minchi,kisosora,Sahare,donge, etc...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Mahali ni dsm kilwa road mwandenge,nyuma ya kiwanda cha bakhresa( chatembo) Ukubwa ni ft 50×50, Umeme,maji na barabara vinapatikana . Bei ni tsh 2,000,000/= Mawasiliano; 0714 77 55 66 0683 77...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Rent a Maid & Cleaning Services ni kampuni iliyopo Bugando yenye usajili no 416087. Inatoa huduma ya usafi wa ofisi yako, taasisi yako i.e shule, hospitali, benki n.k na hata majumbani au usafi wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Make : Toyota Model : Rav4 Mileage :96000km Engine size: 1990cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2004 Doors : 4 Seats : 5...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Natafuta flatbed trailer used ambayo ipo Dar es salaam. Maelezo ya ziada; Flatbed trailer used au mtumba Air suspension BPW axles 40 ft Super single tyre Iwe used ya Ulaya au...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Mambo wana jf naombeni kujua biashara ya hiyo kitu,kuanzia mtaji ,faida,hasara,changamoto. Msaada wajameni
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Mimi ni Afisa Mifugo daraja la II katika halmashauri ya Mji Tarime. Natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo aliyope mikoa ya Njombe,Iringa,Mbeya,au Ruvuma 0762940676
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Iwe ni huawei p8 lite Au sumsung note 1
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Shimso Foods inawaletea huduma ya vitafunwa aina zote kwa wakazi wa dar na vitongoji vyake [emoji364]Vitumbua 300 [emoji364]Chapati 500 [emoji364]Kachori 300 [emoji364]Maandazi 300...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Kichwa cha habari kimejieleza nahitaji hicho king'amuzi kwa bei ya wastani, mpya imenishinda vya promo bado.
0 Reactions
28 Replies
15K Views
Natafuta Nyumba ya Kupanga IRINGA.
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Natafuta mfanyabiashara tushirikiane kwenye bar na restaurant yangu pale daraja la Kigamboni. Imekamilika kwa kiasi cha 85%. Ipo kwenye barabara kuu kama hatua 100 baada ya sehemu ya kulipia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
New Habari wana forum nina chumba kingine lengo nahamisha wapangaji wenye familia na kuleta wanafunzi. Cha mwanzo nilicholeta tangazo nashukuru nilipata mwanafunzi hii ni fursa yako nzuri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ramadhan offer Brand new items for home use Best quality 0715677739 Dar *Mixer 315,000/ only Bish rice cooker 2.8 Litres 60,000/ Microwave with grill Russell Hobbs 150,000/ 20 litres volume...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Original Haina chaja wala phone Ipo kama inavoonekana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii offer ni kwa watumish wa umma(watumish wa serikali) ,halmashauri...n.k Hii ni company mpya APA dar HQ zipo posta mpya Uzur wa hii kitu unaweza kukopeshwa hata ukiwa na madeni..Kwenye taasisi...
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Wakuu heshima kwenu. Nahitaji kujua bei za matanki ya maji kwa Dar au Moro kwa size tofauti tofauti na makampuni tofauti ili nijibalance kwa mpunga wangu kidogo nichukue size gani na kampuni gani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niko la umeme used toka denmark..juu Ina kioo(ceramic) Iko na oven pamoja.... Bei ya kuuza ni 370,000/ Haya makini ni imaraaa sana Kwa mawasiliano piga simu 0715591141 dar OvA
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Back
Top Bottom