ms_mimi
Member
- Jun 23, 2017
- 94
- 110
Nikisema OFFER namaanisha OFFER kweli kweli kwa ajili yako mteja wangu..
Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia yaani hazina viambata sumu.
Pia kwa wale waliotumia vipodozi vikali wanaweza kurudisha ngozi zao kwa kutumia bidhaa hizi na kuwa na uhalisia tena..
Kuna bidhaa mbalimbali kama;
- Bidhaa za ngozi, hizi unapewa kulingana na aina ya ngozi yako pamoja na tatizo ulilonalo.
- Perfumes za kike na za kiume.
- Sprays na Deodorants ili kuondoa harufu kali kwapani na weusi kwapani..
- Sabuni za maji (shower jelly) na sabuni za kawaida (bar soap).
- Mafuta ya mwilini (Body lotion)
- Mafuta ya nywele zinazokatika na zinazodumaa.
- Mafuta ya kulainisha mikono.
- Mafuta ya massage.
-Bidhaa za kunyolea ndevu na kuondoa mapele.
- Bidhaa kwa ajili ya matumizi ya kina dada ( sehemu private).
-Bidhaa za kuondoa michirizi...
- Bidhaa kwa ajili ya kulainisha ngozi ya miguuni na kuondoa magaga na harufu mbaya miguuni.
Niagize nikufikishie bidhaa zako, napenda kukuhudumia. Nitafurahi sana nikikuhudumia.
Wasiliana nami kwa simu namba 0672416294