Wasalaam wana forum, kwa mahitaji ya Nyumba, kiwanja na mashamba! Usisite kuwasiliana nami!
Viwanja na nyumba zipo kwa bei tofauti tofauti kulingana na uhitaji wako, kama upo interested kwa maeneo...
Bwana Yesu asifiwe!
Ijumaa tar 7.7.17, tunakabithi Kwa BWANA nusu ya kipande kilichobaki cha huu Mwaka. Ili Mungu atuvushe na atushindie magumu yote. Ni Pale Princess Hall-Sinza Mapambano Saa 10...
Kama hichwa cha thread kinavyojieleza,Kuna rmtu anauza plot yake ya ft 50/60 ambayo tayari ina mabanda ya uhani (vyumba vitatu) kwa Tsh Million 10.
Nyumba ipo eneo zuri na site haina...
Habari wakuu,
Mimi ni mwajiriwa wa sekta binafsi Hapa Dar.
Kuna emergency nimepata (family related). Nahitaji mkopo wa 350,000/, marejesho ni baada ya siku 30. Sina collateral yoyote zaidi vitu...
Wapendwa za Jioni, natafuta vijana waliosharp kwa ajili ya kazi ya kuuza Ice cream, Juice na maji mashuleni. Mshahara ni usharp wa kijana tu. Akiuza sana na ujira utakua mkubwa pia.
Maeneo ni...
Ndugu zangu nauza shamba la heka 5 bei milioni 2,lina mihogo heka 3,minazi 80, na miembe 20 na kuna eneo kubwa limepandwa mahindi ya muda mfupi...Shamba lipo KIBITI maelewano yao
HABARI WAPENDWA NINAUZA UNGA WA LISHE MCHANGANYIKO WA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA UNAFAA KWA UGALI NA UJI PIA.BEI NI RAHISI KWA MAWASILIANO 0754621792.KARIBUNI
Wadau nina nyumba ambayo bado haijaisha ipo kwenye ujenzi lakini naikodisha. Ni nyumba ya gorofa ina vyumba 2 moja ni master na ina sebule, jiko, choo,bafu na store. Pia ina eneo la wazi (kiwanja)...
Wadau heshima kwenu,
Mwezi July natarajia kuanza kazi jijini Arusha kwa mkataba wa miezi 10. Nimejiwekea utaratibu wa maisha kiafya kuwa kila weekend huwa naenda gym na baada ya kutoka gym...
Wanabodi,
Msimu wa Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, SABA SABA, umewadia, mimi mwana JF mwenzenu, Paskali Mayalla, kupitia kampuni yangu ya PPR, huwa ninarusha vipindi vya...
HABARI WAPENDWA NINAUZA UNGA WA LISHE MCHANGANYIKO WA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA UNAFAA KWA UGALI NA UJI PIA.BEI NI RAHISI KWA MAWASILIANO 0754621792.KARIBUNI
Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ.
Ukubwa: kilo 100
Bei: 4000
Tutakutumia ulipo.
FARMRICH...
Kuna vitu hivi;
-Sofa moja la watu wawili
-Meza ndogo
-Kitanda na godoro
-Subwoofer ndogo, full na kila kitu chake hadi box
-Dressing table
-Decoder na ungo(dstv)
Vyote nafanya 600,000 tu bei ya...
Safari ita anzia Ubungo, Dar es salaam, Ijumaa ya tarehe 7/7/2017 na kurudi jumapili 9/7/2017. Gharama kwa mtu mmoja ni 230,000/= na 210,000/= kwa watu wawili.
Gharama hii imejumuhisha Kiingilio...
1 DAY OLD CHICKS/ VIFARANGA VYA SIKU MOJA.
Kwa wafugaji serious... Viko 400 tu. Tupo Dodoma mjini ni vifaranga Chotara kwa ufugaji wa kuku wa mayai ya Kienyeji.
Tuwasiliane 0755212988 /0754595780
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.