Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anae hitaji kuku aina ya Kuchi anaweza akani PM ili tuweze kufanya biashara, kwa huku Geita vijijini wapo wengi sana kuku wa aina hii.
1 Reactions
18 Replies
10K Views
Habari zenu wakuuu..... Napenda kuwatangazia tunauza mashine mpya na imara za kusagia karanga.Hizi hazitumii umeme ni nguvu ya mkono wako tu.Tunauza elfu 45 za kitanzania. TUNAPATIKANA...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
  • Poll Poll
Tatizo hili la kuwa na maumbile madogo limekuwa likiwakosesha raha na kuwanyima usingizi wengi, kwani huhofia hata kujiingiza kwenye mahusiano kwa kuogopa fedheha, hali inayopelekea wengi...
6 Reactions
44 Replies
12K Views
whatsapp/sms: 0682662558 : Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
739 Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naomba kujuzwa wapi nitapata soko la vitunguu saumu vya jumla. Namba yangu ni 0715641681 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaam, Husika na kichwa cha habari hapo juu. Utaratibu ni kwamba, Unanipa oda ya gari unalolipenda, ninakupa makadirio ya kodi hadi gari kuwa barabarani. Ukirithika, unafanya malipo! Na...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Mtu anayeenda kanda ya ziwa kutoka dar weekend hii na private,mteja nipo hapa nitachangia pesa ya mafuta. NB:mi ni dereva pia tunaweza kusaidiana.
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Gari hii inauzwa kwa maelezo zaidi nifuate inbox,najua kuna kejeli ila nitazivumilia tu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Nahitaji Nyumba ya kununua maeneo ya Mbagala, Kitunda, madale gogolamboto,pugu na maeneo mengine yasiwe mbali na mjini. Asanteni
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wadau wa Jf nasafiri kutoka Dar kwenda kahama kwa mara ya kwanza lakin nahtaji kujua wap nitapata gest za bei cheap mana nafka usku.........ikiwezaka kuwe na..... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
19 Replies
5K Views
MAMBO 10 YA KUZINGATIA ILI UWE NA WEBSITE YAKO Sehem ya 1 ~ Pacoster ICT Center
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba mwenye kujua Lodge ambayo naweza kufikia pale Kyela ambayo haiko mbali na stand. Isizidi 20k. Kama nitapata mawasiliano kwa ajili ya booking sio mbaya. Asanteni Post sent using...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa, nahitaji kununua simu kama kuna mwenye simu mpya au used(lakini iwe katika hali nzuri). Bei yake i-range kati ya 160,000- 180,000. Niko Bukoba.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tupo nanenane morogoro barabara ya kuelekea tungi karibu na pentagone geust house Tunauza kwa jumla na lejaleja KARIBUNI SANA. Sent from my TECNO-W3LTE...
0 Reactions
3 Replies
872 Views
Nataka kuungana na wauzaji au watengenezaji wa vifungashio hv Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wajomba habarini za kazi Naomba kujuzwa vinapopatikana vifaa vya greenhouse (isiwe balton) au utaratibu wa kuagiza vifaa hivyo kutoka nchi jirani ya kenya. Ahsanteni
0 Reactions
5 Replies
3K Views
- Kwanini nyumba nyingi zinauzwa Eneo la Chamazi?. - vp hali ya Usalama maeneo hayo?. Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Natafta maduka ya nguo za kike kwa bei ya jumla dar. Anae yajua msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom