Soko la kuku aina ya kuchi

Soko la kuku aina ya kuchi

Qj_

Senior Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
157
Reaction score
155
Kwa anae hitaji kuku aina ya Kuchi anaweza akani PM ili tuweze kufanya biashara, kwa huku Geita vijijini wapo wengi sana kuku wa aina hii.
5f8fe2b544c11a67f49a4afda4dbade7.jpg
 
Kwa anae hitaji kuku aina ya Kuchi anaweza akani PM ili tuweze kufanya biashara, kwa huku Geita vijijini wapo wengi sana kuku wa aina hii.
unetusaidia picha na bei ili tujipime
 
Kwa anae hitaji kuku aina ya Kuchi anaweza akani PM ili tuweze kufanya biashara, kwa huku Geita vijijini wapo wengi sana kuku wa aina hii.
5f8fe2b544c11a67f49a4afda4dbade7.jpg
Mkuu hao Kuchi mimi nitawapataje, kama vip njoo PM
 
Kwa anae hitaji kuku aina ya Kuchi anaweza akani PM ili tuweze kufanya biashara, kwa huku Geita vijijini wapo wengi sana kuku wa aina hii.
5f8fe2b544c11a67f49a4afda4dbade7.jpg
Mbona afya mbaya Mkuu weka picha nyingine ndo hivyo kweli naona shingo na miguu au ni kwa ajili ya urembo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom