Pole swahiba....kila la heri!!hapana niliharibikiwa gari nzega,sa kuna kifaa nilifuata dar, ndo nataka kurudi nikatengeneze. kukaba siwezi haaaaah haaaah
Mtu anayeenda kanda ya ziwa kutoka dar weekend hii na private,mteja nipo hapa nitachangia pesa ya mafuta.
NB:mi ni dereva pia tunaweza kusaidiana.
Mimi tarehe 28/07 nakwenda mwanza,kama utakua hujaondoka utanicheck PMMtu anayeenda kanda ya ziwa kutoka dar weekend hii na private,mteja nipo hapa nitachangia pesa ya mafuta.
NB:mi ni dereva pia tunaweza kusaidiana.