Street Winner Mobile Computer solution:
STREET WINNER MOBILE & COMPUTER SOLUTION
*TUNATOA HUDUMA ZA AINA MBALIMBALI KWENYE SMARTPHONES NA COMPUTER*
1. SIMU & TAB ZA ALCATEL,VODAFONE & ZTE ZENYE...
Habari wakuu ! Kama title inavyojieleza hapo juu, Simu ni A5 (2015), ina miezi 2 tu tangu inunuliwe, ipo in a good condition, camera ni kali MP 13, Price 400k.
Nicheki hapa 0653006425
Ndugu Kuna mtu ananisumbua. Je wapi hapa bongo naweza pata vyumba vya kupanga kwa 20elfu. Maji umeme. Mbali Na mji poa mradi daladala inafika. Hii Ni mipango ya January
Nimeanzisha huu uzi ili wataalam wa kutengeneza mashine hizi watuelimishe.
ukizingatia wataalam wa biashara, kilimo, afya nk wanatoa huduma na ushauli hum bure, hivyo naomba na na wataalam...
Habar zenu wana jf nauza gar aina ya prado mwaka 2002 iko vizur.
Ipo zanzibar
Unaruhusiwa kuja na fund wako kuikagua siku nzima.
Sababu za kuuza ni matatizo ya kifamilia.
Bei sh mil 15...
Wadau za asubuh. Nahitaji chumba na sebule+jiko kigambon ambapo patakua pazur. Dau ni 120,000 lakini inaeza kuongezeka kulingana na ubora wa nyumba. Maji, umeme visikosekane. Pia napendelea maeneo...
Nimechukua fremu ya biashara maeneo ya Kimara lakini umeme una madeni na migogoro, sasa mwenye nyumba amenishauri niweke LUKU yangu sasa naomba kujua gharama za kununua meter na kuweka ni shilingi...
Wakuu poleni na pilika pilika za sikukuu. Wakuu napenda kutoa mrejesho. Nyumba bado haijapata mpangaji; nadhani labda ni kwa vile haina umeme; na pia labda umbali kutegemea na shughuli nyingi za...
Naiaji mtu ambaye anauza mkaa kwa bei ya jumla mkoani na awe katika mikoa ya Pwani, Tanga , Morogoro na awe na uwezo wa kuniandalia gunia 5-10 kwa wiki kama unauwezo fanya kuni text PM immediately...
Tunatoa mafunzo ya namna ya kufanya installation ya dish za aina zote na pia kufanya installation ya CCTV Camera.
mafunzo ni ya siku tano tano yaani
satelite dish installatuon siku tano
CCTV...
Wadau kuna AC au Aircondition ukipenda unaeza kuiita kiyoyozi au mkyif inauazwa bei ya chee
Mpk kufungiwa ww upate baridi inahitaji 800,000/
Model ni samsung
Nicheck kupitia namba 0622001223
Salam wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, niko arusha and I have only tomorrow kukodisha vifaa hivi (climbing gear) kwa dealers ambao wako arusha kwa maana keshokutwa ndio natarajia kuelekea huko...
Habar wadau
Ninatafuta mikanda ya kimasai kama ilivyo kwenye picha...
Nahitaji nina order kubwa..kama unamtu unamfaham anatengeneza naomba anisaidie mawasiliano..
Thanks wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa hii no ni tapeli anajifanya anafanya kazi vodacom huduma kwa wateja
Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.