NNJ7
Senior Member
- Mar 7, 2016
- 114
- 59
Itabidi afate huu ushauri ili arekebishe maana hata sielewi ni kitu gani kaweka.Kwanza, jifunze kuhusu masoko na namna ya kutafuta wateja na kumhamasisha kununua bidhaa yako kabla hajakupigia simu!! Yaan kama hapa ulitakiwa mtu akikupigia anatoa order na siyo kuanza kukuuliza nini hiki? Cha kazi gani?? Kinapatikana wapi?? Bei gani?? Usumbufu mtupu!! NNJ7
Sent from my SHW-M250S using JamiiForums mobile app
Kwanza, jifunze kuhusu masoko na namna ya kutafuta wateja na kumhamasisha kununua bidhaa yako kabla hajakupigia simu!! Yaan kama hapa ulitakiwa mtu akikupigia anatoa order na siyo kuanza kukuuliza nini hiki? Cha kazi gani?? Kinapatikana wapi?? Bei gani?? Usumbufu mtupu!! NNJ7
Sent from my SHW-M250S using JamiiForums mobile app
Mwambieni unapost kitu theni hakina maelezo ndio nini unadhani wote tunavijua?Kwanza, jifunze kuhusu masoko na namna ya kutafuta wateja na kumhamasisha kununua bidhaa yako kabla hajakupigia simu!! Yaan kama hapa ulitakiwa mtu akikupigia anatoa order na siyo kuanza kukuuliza nini hiki? Cha kazi gani?? Kinapatikana wapi?? Bei gani?? Usumbufu mtupu!! NNJ7
Sent from my SHW-M250S using JamiiForums mobile app