MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,311
Salaam,
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Utaratibu ni kwamba,
Unanipa oda ya gari unalolipenda, ninakupa makadirio ya kodi hadi gari kuwa barabarani.
Ukirithika, unafanya malipo!
Na utaratibu wa malipo ni kama ufuatavyo.
Malipo ni kwamba, kabla hujalipa hata shillingi mia.
tunakwenda kwa mwanasheria tunaandikishiana mkataba
Lawyer ana sign, Mimi nina sign na wewe una sign na mashahidi wa pande zote mbili (wa upande wangu na wa upande wako) wote wana sign
Baada ya hapo, malipo yote unafanyia bank, na pande zote mbili tunabaki na nakala.
Hakuna hata shilling mia ambayo utanipa mkononi
MUDA WA KUWASILI KWA GARI:
Muda wa kuwasili ni Week 6 ila kuna muda meli hua inachelewa kuingia inakua week 8.
Kwahio uhakika ni week 6 ila hizo week mbili ni akiba incase meli ikichelewa kuingia.
Ninatangulza shukran.
Karibu
email: ecarstanzania@gmail.com
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Utaratibu ni kwamba,
Unanipa oda ya gari unalolipenda, ninakupa makadirio ya kodi hadi gari kuwa barabarani.
Ukirithika, unafanya malipo!
Na utaratibu wa malipo ni kama ufuatavyo.
Malipo ni kwamba, kabla hujalipa hata shillingi mia.
tunakwenda kwa mwanasheria tunaandikishiana mkataba
Lawyer ana sign, Mimi nina sign na wewe una sign na mashahidi wa pande zote mbili (wa upande wangu na wa upande wako) wote wana sign
Baada ya hapo, malipo yote unafanyia bank, na pande zote mbili tunabaki na nakala.
Hakuna hata shilling mia ambayo utanipa mkononi
MUDA WA KUWASILI KWA GARI:
Muda wa kuwasili ni Week 6 ila kuna muda meli hua inachelewa kuingia inakua week 8.
Kwahio uhakika ni week 6 ila hizo week mbili ni akiba incase meli ikichelewa kuingia.
Ninatangulza shukran.
Karibu
email: ecarstanzania@gmail.com