Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta kiwanja mapinga mbele ya bunju kama unaenda bagamoyo Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
1 Reactions
2 Replies
723 Views
wakuu nina mahindi kwenye gari tani 32 yapo dar bei ni 590 kwa kilo. contact Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
18 Replies
3K Views
FURSA KUBWA KWA WATANZANIA!! AIM GLOBAL... Je ungependa kuwa na kipato cha ziada? Je unatafuta ajira ya kufanya kwa mda wako wa ziada au ya kudumu ? Tunatafuta watu wanaoweza kujituma wenyewe na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu.. Nipo dar es salaam nahitaji kununua kuku wa kienyeji au wa kisasa na pia nahitaji mayai yake kwa anaye uza naomba ani pm....
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Habari wana JF, Nina kuku wakienyeji kama 150 ni mchanganyiko yaani majogoo na Tetea ni wakubwa na wazuri kwa kufuga pia wazuri kwa nyama, kuku hao wapo mkoani Mbeya lakini nitawasafirisha Dar...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiboko ya chunusi, harara,mapunye,muwasho,makovu na kila aina ya ugonjwa Wa Ngozi Only 7000 tu....nakuletea ulipo na mikoani natuma 0714547830 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mileage 00 bei yake ni milioni 40,000,000 tsh
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Habari wadau.. Nauza Fuso fighter tandem ipo kwenye Hali nzuri. Engine 6D16 Ina Turbo Aliye interested Anitafute kwenye namba hii 0719065116 Bei 50M TSh. Pungufu tunaongea.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Ninahitaji stidio monitors zenye ubora na bei nafuu.Mwenye nazo anicheki tufanye biashara lakini zisiwe Alesis.
0 Reactions
1 Replies
702 Views
za kwenu??? msaada please,hizi fishnet ankle socks kwa anaejua zinauzwa wapi kwa Dar??? au maduka ambayo naweza pata.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Heshima mbele wana JF. Natafuta chumba self na sebule pia Jiko. Maeneo:Mwenge,Kijitonyama,Makumbusho na hata Mikocheni. Offer:Minimum Tshs.200,000/= Kama ipo ni-PM,nitakupigia . Asante.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Incubators (Mashine za kisasa za kutotolesha vifaranga) zinapatikana. Zinatumia umeme, Solar, Betri za gari na Generator. Zinadumu na zina warranty. Ni rahisi kutumia na zina asilimia kubwa ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
OFAA OFAAA OFAAAAA Kama wewe ni masanii wa muuziki wa aina yoyote na umeshatengeneza audio yako unataka ku shoot video nzuri na yenye kiwango cha juu kulingana na soko la Africa Mashariki kwa...
0 Reactions
1 Replies
641 Views
Ni simu aina ya Sony Experia inauzwa kwa bei ya shilingi 200,000/= simu iko katika hali nzuri kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii hapa 0713620684.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau natafuta wanunuzi wa Pilipili Mbuzi ziko SHAMBANI tayari kuvunwa idea na soko kiko inipe.
0 Reactions
30 Replies
11K Views
Husika na kichwa hapo juu, Nauza Tecno C8 bei 190000/=Tshs maongezi yanaruhusiwa nipo Tanga Majengo msikitini hapa kwa mawasiliano zaidi nichek 0625697394 thA God thA bubbs!!
0 Reactions
4 Replies
837 Views
Habari wana JF, Mimi nimeanzisha bakery yangu, kwa sasa nina oven ndogo tu,kuna mtu anaweza kunifahamisha wapi naweza pata oven ya kuokea mikate ambayo itakuwa na uwezo wa kuoka hata mikate 100...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
MS TCDC inakaribisha maombi ya kujiunga na shahada ya kwanza katika programu ya Governance and Development. Shahada hii ni ya miaka mitatu ambayo inatolewa chuoni MS TCDC- Usa River-Arusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana hamjambo? Nahitaji jezi original za Liverpool zile mpya kama unazo njoo tuzngumze Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
646 Views
Nauza mashine ya max malipo haina tatizo Lolote bei 500,000 kwa picha na maelezo inbox Au piga 0752669640
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Back
Top Bottom