FURSA KUBWA KWA WATANZANIA!! AIM GLOBAL...
Je ungependa kuwa na kipato cha ziada? Je unatafuta ajira ya kufanya kwa mda wako wa ziada au ya kudumu ? Tunatafuta watu wanaoweza kujituma wenyewe na...
Habari wana JF,
Nina kuku wakienyeji kama 150 ni mchanganyiko yaani majogoo na Tetea ni wakubwa na wazuri kwa kufuga pia wazuri kwa nyama, kuku hao wapo mkoani Mbeya lakini nitawasafirisha Dar...
Kiboko ya chunusi, harara,mapunye,muwasho,makovu na kila aina ya ugonjwa Wa Ngozi
Only 7000 tu....nakuletea ulipo na mikoani natuma
0714547830
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau..
Nauza Fuso fighter tandem
ipo kwenye Hali nzuri.
Engine 6D16 Ina Turbo
Aliye interested Anitafute kwenye namba hii 0719065116
Bei 50M TSh. Pungufu tunaongea.
Heshima mbele wana JF.
Natafuta chumba self na sebule pia Jiko.
Maeneo:Mwenge,Kijitonyama,Makumbusho na hata Mikocheni.
Offer:Minimum Tshs.200,000/=
Kama ipo ni-PM,nitakupigia .
Asante.
Incubators (Mashine za kisasa za kutotolesha vifaranga) zinapatikana. Zinatumia umeme, Solar, Betri za gari na Generator. Zinadumu na zina warranty.
Ni rahisi kutumia na zina asilimia kubwa ya...
OFAA OFAAA OFAAAAA
Kama wewe ni masanii wa muuziki wa aina yoyote na umeshatengeneza audio yako unataka ku shoot video nzuri na yenye kiwango cha juu kulingana na soko la Africa Mashariki kwa...
Ni simu aina ya Sony Experia inauzwa kwa bei ya shilingi 200,000/= simu iko katika hali nzuri kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii hapa 0713620684.
Husika na kichwa hapo juu,
Nauza Tecno C8 bei 190000/=Tshs maongezi yanaruhusiwa nipo Tanga Majengo msikitini hapa kwa mawasiliano zaidi nichek 0625697394
thA God thA bubbs!!
Habari wana JF,
Mimi nimeanzisha bakery yangu, kwa sasa nina oven ndogo tu,kuna mtu anaweza kunifahamisha wapi naweza pata oven ya kuokea mikate ambayo itakuwa na uwezo wa kuoka hata mikate 100...
MS TCDC inakaribisha maombi ya kujiunga na shahada ya kwanza katika programu ya Governance and Development. Shahada hii ni ya miaka mitatu ambayo inatolewa chuoni MS TCDC- Usa River-Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.