Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari sasa unaweza jipatia website ya kisasa kabisa ikiwa na domain name ya bure (.Com) Pia hosting ya mwaka mzima bureee Pia blogs za kisasa utajipatia Gharama ya kutengeneza website au blog...
0 Reactions
1 Replies
592 Views
Kama unahitaji kiwanja kipo Mbweni Mpiji karibu na Shule ya kimataifa Mt Everest,kina hati sq mita 645 maji umeme on sight.contact 0654347423 sasa usichelewe sawasawa?[emoji109]
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza Ufuta kilo moja shilingi 1,950/= Zipo tani 500, Dar es Salaam. Karibuni sana. 0659890000 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jenga leo kwakukopeshwa viwanja vilivyopimwa pamoja na matofali bila hata ya riba wala dhamana utaweza kulipa kidogo kidogo kadri unavyopata pesa ndani ya miezi 4 viwanja vipo kwenye...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Kama invyojieleza apo kuna viwanja naviuza vipo morogoro bigwa na mlali karibu na mzumbe university ukubwa ni heka moja miundombinu kama umeme na barabara vipo ndani ya maeneo mawasiliano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nauza mizani nipo Morogoro ina uwezo wa kupima kilo 10 ni ya kisasa imetumika miezi mitatu tu naiuza kwa 130,000/= Karibuni sana. Kwa mwenye uhutaji anicheck pm
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu natanguliza shukrani, Natafuta shamba kwa ajili ya kufuga maeneo ya Kibaha mpaka Mlandizi. Na maeneo ya mvuti na kuendelea. Aliyenalo au kuna mtu au co. Wanauza naomba Ani PM Sent...
0 Reactions
7 Replies
906 Views
Naulizia bei ya hizi s8 jamani madukani hasa kariakoo? Nataka niinunue hiyo Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Mimi ni kijana niliyehitimu Degree ya Electronics & Communication Engineering, najihusisha na kudesign systems mbalimbali za kielectroki, kwa wale wanaotumia underground water yaani kama...
7 Reactions
64 Replies
13K Views
Habari za jioni wakuu nauza fridge ndogo ipo Morogoro nauza 250,000/. Ukihitaji nicheck DM mkuu nikutumie picha kwenye watsap. Karibuni wakuu
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kichwa chajieleza, wadau mwenye housing hiyo tajwa hapo juu nashida nayo sn, nisimu ya zamani sana ila inaumuhimu sn kwangu ndio maana nahitaji housing hiyo. Nimeshatembea sn kuitafuta bila...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo, tunakodisha nyumba iliyopo Mbezi Beach Ndafu Rd kwa ajili ya Films/TV Commercials na PHOTO SHOOT OUTS TU. Watakao hitaji tafadhali tuwasiliane through my Inbox...
0 Reactions
1 Replies
622 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Samsung grand prime plus mpya kabisa full box Ram 1.5 gb Storage 8gb Camera 8.mp Double line Ina support 4g With charge & ear4n Simu iko na kila kitu chake ya full box Karibuni tufanye biashara...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Nataka kujua gharama ya nyumba chumba kimoja na self contained.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ukiwa mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro na unataka kula kitimoto bila kujutia pesa yako, fika tu MINJAS Pub- Majengo Stand, mita 20 tu toka barabara ya Moshi Dsm na ni hapohapo Stand ya hiace ya...
8 Reactions
66 Replies
9K Views
GEODATA CONSULTANTS LTD Ø We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices. Ø We also...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Nadhani wadau wa jf mmeona heading Je naweza pata wap kondom za kike ....... Samsung galaxy ace J1
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Rav 4 ni ya mwaka 1999 imetembea km 61000 na ina vibali vyote, no accident just aclean and perfect for ride.. bei ni million 13,.fixed
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Contact us: 0763777727
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom