Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices. We also provide Solution and technical...
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Msaada kwenye tuta members. Kuna Tajiri anataka kuwekeza Africa anataka kufungua Company akataka apewe fursa zilizopo. Kwenye kumfungua macho cha kwanza nilichoona kinafaa kuhusu kiwanda cha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Za jioni ndugu!Naomba kama kuna anayejua sehemu sungura wa kisasa wanapopatikana anijuze napatikana Moshi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini za usiku. Poleni kwa mizunguko ya hapa na pale. Nina ombi moja. Kwa anayefahamu, naomba kujua wapi nnaweza kupata black seed oil original, isiyochakachuliwa. Ikiwezekana naomba pia...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nahitaji laptop USED kwa ajili ya hardcore gaming;yenye uwezo wa kucheza games kama gta v. Specs atleast processor core i7 ram 4GB hdd 500GB graphics card Nvdia Kama unayo tafadhali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaji fremu za milango saba moja ikiwa mlango wa mbele. nitajie bei ya kila fremu.zinahitajika haraka mbezi Dar. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Tunafundisha Kompyuta kwa program za, MS WORD, ACCESS, EXCELL, POWERPOINT, INTERNET AND E-MAIL, PUBLISHER n.k, kwa muda wa wiki tatu tu. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
BIASHARA IMEFUNGWA! LAPTOP IMESHAUZWA 1. Jina: HP 2. Operating system: Window 8.1 Pro 64-bit (6.3, build 9600) 3. System manufacturer: HP 4. System model: Hp Elitebook 8440p 5. BIOS: Default...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nauza sungura wa kisasa newzealand white nipo mbezi makabe Dar es salaam sungura mmoja 30000 Call...+255753534514
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka nianze kufuga sungura wa kisasa kwa sasa nipo Moshi ni wapi naweza wapata? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mbao za aina yoyote zenye ubora zinahitajika,ila wanahitajika wafanyabiashara wenye uzoefu na wenye kuleta mzigo mkubwa..piga hesabu zako mpaka mzigo...
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Wanajamii wenye uelewa wa utaratibu wa kufuata ili kufanyika preshipment inspection ya mizigo inayoagizwa kutoka Canada naomba mnisaidie. Naagiza mashine ya kupasua mbao
0 Reactions
1 Replies
757 Views
Samsung galaxy s7 duos 680,000 32gb Simu ipo katika hali ya upya kabisa 0678 104 128
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Ili kuhakikisha unajiandaa vyema na mtihani wako wa mwisho, tumeamua kutoa huduma ya ku ‘solve’ ‘past papers’ za mitihani yote ya ‘necta’, na pia, tunafanyisha mitihani yenye mfumo wa ‘necta’ kwa...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Habar wakuu natumai ni wazima. Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kwa wale wanaoitaji usafir kwa shughuri mbalimbali * harusi au hafla * kusafirisha misiba (mkoa wowote) * kukodi kwa shughur...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Karibuni wateja wote wa import, export Napia transit goods yote tunadili nayo kwa muda wa mfupi kwa speed Kubwa bila usumbufu kwa wateja Wetu bila kusahau gharama ndogo saana kalibuni wateja Wetu...
1 Reactions
5 Replies
926 Views
Habari zenu wadau naomba msaada yeyote mwenye programme ya microsoft office ya 2017 au mwaka 2016 for macos sierra ambayo ishakuwa activated.... Nitatoa offer nono Nadhani nitakuwa nimeeleweka...
1 Reactions
2 Replies
852 Views
Naomba kuuliza kwa yeyote anaefahamu bei ya Samsung Galaxy MegaPlus naomba anijuze chap chap..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom