Noah ya kukodi kwa ajili ya harusi

Noah ya kukodi kwa ajili ya harusi

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,289
Reaction score
1,426
Nahitaji kukodi gari aina ya NOAH kwa ajili ya Harusi siku ya Jumamosi tarehe 12/8/17 hapa DAR.Gari lazima iwe kwenye hali nzuri . Ratiba ni kama ifuatavyo jumamosi mchana kutupeleka kanisani , baadae kwenye hall ,huna haja ya kusubiri harusi unaweza kwenda kupumnzika , Mwisho wa harusi inabidi uje kutuchukua .
Mkataba unaweza kuwa wa aina mbili , uendeshe wewe au mimi. Weka no yako ya simu na bei
 
Piga namba hii umweleze shid zko..0712 871726 msuya
 
Aaaarh kumbe Dar bhana...ungekua Arusha ngekupa Vogue kwa bei ya kukodi Noah.

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
 
Back
Top Bottom