Jipatie .com domain name kwa bei ya Tsh 15,000/yr
Offer hii ni ya mda mchache tu.
Tuwasiliane hapa kwa maelezo zaidi +255719658086
weka order yako hapa: Portal Home - Tanzania website Experts...
Sifa za partiner;
Awe committed, mwaminifu, mwenye malengo, aweze kufocus kwenye malengo bila kua dstructed na external factors.
Mwenye kufikiria chanya, amini katika Mungu.
Nicheki PM
Eneo hili lipo mbwanga kabla ya nala dodoma mjini.lina ukubwa wa ekari tatu kasoro kidogo sana,hati yake ni ya kijiji!liko umbali usiozidi kilomita 11 toka town centre na umbali wake toka barabara...
Hello! Kuna mtu anahitaji kununua pharmacy. Kama unauza famasi yako au unafahamu pharmacy ambayo inauzwa/mmiliki anaweza kuiuza kwa sasa na ipo Dar es salaam basi naomba tuwasiliane kwa namba...
Jamani mimi nina ma-hot pot yamebabuka babuka tu na nilinunua bei kidogo kubwa kudhani yatakaa.
Mwenye uzoefu aniambie wapi niende nikanunue ma-hotpot ya maana mazuri yatakaoishi muda wa kutosha...
Viwanja hivi vipo umbali usiozid kilomita 3 toka barabara kuu ya kilwa. Maeneo viwanja vilipo ni vikindu mkuranga.karibu kabisa na kinapojengwa Chuo kikubwa cha st Augustin. Kwa wasiliano zaidi...
shamba lipo morogoro Kingulwira lipo karibu na mto ngerengere 14 km kutoka barabara kuu MOROGORO to Dar es Salaam (0744990530)
Sent using Jamii Forums mobile app
Umililiki wako kwa jukumu letu.
MHCL inatoa huduma za upandaji miti ya mbao na parachichi, tunauza ya miche ya miti ya mikaratusi(ecalyptus) na misindano (pine), utoaji huduma endelevu kwa...
Habari majukumu ndugu zangu,
Kwa mwenye ufahamu juu ya nyumba zinazouzwa za NSSF,PPF PSPF chanika naomba anijuze.
Nataka kununua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na 0742188846
Zipo heka 200 bei ya kila eka ni 100000
Shamba lipo mkoani NJOMBE
Ktk tarafa ya lupembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba lililopimwa lipo kibaha, njia rahisi na fupi ni ya kupitia bagamoyo road ukivuka daraja linalotenganisha bunju na bagamoyo upande wa kushoto uelekeo wa bagamoyo kuna barabara iliyochongwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.