Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana JF! Leo nimeona niwaletee simu ya infinix NOTE 3! Ni simu niliyoitumia kwa miezi minne tu! Sifa kubwa ya hii simu ni kukaa na chaji, so far imezipiku simu nyingi katika hii nyanja...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Kitanda cha mtoto kinauzwa kwa bei ya shilingi 200,000. kina kabati lake kwa ajili ya vitu vidogo vidogo vya mtoto, kina droo chini ya kitanda, kina neti maalumu na godoro lake, kina uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wandugu salam, Natafuta chumba kimoja cha kupanga maeneo ya mikocheni au mwenge. Nahitaji chumba hiko kwa mkataba wa muda wa miezi miwili tu. Mawasiliano 0657 893 565. Natanguliza shukrani!
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Kama mada inavyoonesha hapo Juu. Ningependa ufafanuzi Kwa nn watanzania tunaosoma Hatufikiwi malengo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Najibunia kifurushi kinachonifaa kwa matumizi Yangu. Sipangiwagi! Zamu yako mwanachuo kujibunia kifurushi unachokitaka toka mtandaowako unaoupenda kujiboreshea Huduma ya mawasiliano kipindi chote...
0 Reactions
2 Replies
534 Views
Nauza Maziwa fresh. Bei ni 2000 kwa Lita nafanya delivery kuanzia Lita 10 ndani ya dar Ukihitaji nicheki inbox.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Tunafundisha Kiingereza cha kuongea na kuandika kwa gharama nafuu na uhakika. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari Kambangwa. Mawasiliano: Call and WhatsApp 0754 89 53 21...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Matofali imara ya 6" yanahitajika maeneo ya kigamboni . Yanahitajika matofali 3000. Bei ya kila tofari iwe 1000.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bajaj ni mpya ina rangi nyekundu aina ni RE plag mbili (cheche pacha) ni toleo la kisasa. KWA mawasiliano piga namba 0719505078. Karibu
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Vunjabei matelephones tunakupa offer ya mwaka. Samsung s7 edge mpyaa na accessories zote kwa bei chee 980k tu. Comes with with original charger, usb adaptor, original headset, plus quality back...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu watanzania wazuri wazuri ninauza mtungi wa gesi kama ulivyo kwenye pic bei ni 40000 mum coz mm Nina tumia mtungi mkubwa nakuletea ulipo kwa wa Dar as salaam tu my no is 0656328286 ...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza laptop Dell latitude n series. Imetumika, ipo katika hali nzuri,ina 2gb RAM. Harddisk yake ni 280,windo yake ni yakuibadirisha kwa sababu not gunuine, ni potable ina weza kubebeka kwa...
0 Reactions
2 Replies
715 Views
Nauza simu aina ya itel 1507 elfu 40.nipo mwanza Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
752 Views
Salutue Bosses! Ninauza Harddisk ambayo ina 160GB na RAM-1GB. Zote ni za desktop, used kidogo na ni nzima. Bei ya Hard disk ni 30,000/= na RAM ni 20,000/= respectively. Mwenye kuhitaji ani pm...
0 Reactions
0 Replies
523 Views
Nauza iPhone 7+ 256gb red version mpya na box lake nimepata tatizo. Bei M 1.3 Nipo Dar es salaam Mkoani pia natuma baada ya advance.
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Salute Ndugu . Niambie katika mazao haya unayoweza kupata . Inahitajika tani 5 kila mwezi. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Z1 compact 32 gb Used in a mint condition 200,000 Fearing of the Lord is the beginning of wisdom
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Ø We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices. Ø We also provide Solution and...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom