Habari wana JF!
Leo nimeona niwaletee simu ya infinix NOTE 3! Ni simu niliyoitumia kwa miezi minne tu!
Sifa kubwa ya hii simu ni kukaa na chaji, so far imezipiku simu nyingi katika hii nyanja...
Kitanda cha mtoto kinauzwa kwa bei ya shilingi 200,000. kina kabati lake kwa ajili ya vitu vidogo vidogo vya mtoto, kina droo chini ya kitanda, kina neti maalumu na godoro lake, kina uwezo wa...
Wandugu salam,
Natafuta chumba kimoja cha kupanga maeneo ya mikocheni au mwenge. Nahitaji chumba hiko kwa mkataba wa muda wa miezi miwili tu.
Mawasiliano 0657 893 565.
Natanguliza shukrani!
Najibunia kifurushi kinachonifaa kwa matumizi Yangu. Sipangiwagi!
Zamu yako mwanachuo kujibunia kifurushi unachokitaka toka mtandaowako unaoupenda kujiboreshea Huduma ya mawasiliano kipindi chote...
Tunafundisha Kiingereza cha kuongea na kuandika kwa gharama nafuu na uhakika. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari Kambangwa.
Mawasiliano: Call and WhatsApp 0754 89 53 21...
Vunjabei matelephones tunakupa offer ya mwaka.
Samsung s7 edge mpyaa na accessories zote kwa bei chee 980k tu. Comes with with original charger, usb adaptor, original headset, plus quality back...
Habari zenu watanzania wazuri wazuri ninauza mtungi wa gesi kama ulivyo kwenye pic bei ni 40000 mum coz mm Nina tumia mtungi mkubwa nakuletea ulipo kwa wa Dar as salaam tu my no is 0656328286 ...
Nauza laptop Dell latitude n series. Imetumika, ipo katika hali nzuri,ina 2gb RAM. Harddisk yake ni 280,windo yake ni yakuibadirisha kwa sababu not gunuine, ni potable ina weza kubebeka kwa...
Salutue Bosses! Ninauza Harddisk ambayo ina 160GB na RAM-1GB. Zote ni za desktop, used kidogo na ni nzima. Bei ya Hard disk ni 30,000/= na RAM ni 20,000/= respectively. Mwenye kuhitaji ani pm...
Ø We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices.
Ø We also provide Solution and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.