Nahitaji kiwanja mwanza

Nahitaji kiwanja mwanza

Kishiri sgm 900,tuwasiliane kama uko interested
 
muwe mnataja na bei kabisa.
 
Mwenye kiwanja na mahali kilipo anipe infos ,usisahau kuweka na ukubwa wa kiwanja na bei yake na sifa yingine

Nyegezi -malimbe unakatiza katikati ya chuo cha Sauti kina ukubwa wa square meter 900 kasoro na kimejengewa fensi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: lup
Nenda mwanza kasome vibao vya madalali kwenye nguzo za umeme. Sio ukipata vi mia mbili vyako hapa unakuja koropoka ili tujue umepata
Ilikupasa upite tu bila comment
Hujamtendea haki otherwise una wivu tena wa kike
Maana umu wengi wanakujaga na matangazo kama haya sioni cha ajabu hapa
By the way jirekebishe
Have a nice weekend
 
Nenda mwanza kasome vibao vya madalali kwenye nguzo za umeme. Sio ukipata vi mia mbili vyako hapa unakuja koropoka ili tujue umepata
Duh huyo ndugu kakukosea nini kwani?
Mi najua wana-JF ni ndugu na kujadiliana, kusaidiana na kupeana mawazo ndio zetu. Why hivyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom