Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

MANK oriented GIS Group ,we offer different services concerning about GIS software,for more Information check get more feedbacks from the business card below. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
521 Views
nataka kujua gharama ya mbao 100 za kupaulia nyumba.na gharama ya kuzisafirisha kutoka mafinga hadi kibaha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Mambo ya startimrs hayo bei chee elfu 22000 tu na dishi 44000 tu ni shdaaaaaaaaaaaa.
2 Reactions
95 Replies
36K Views
Natafuta gari Starlet iliyo simama vizuri kama kuna mwenye nayo humu ndani anaweza nichek,pesa yangu kwa gari hiyo nayohitaji haizidi Milion 4. PM namba yako iwapo unayo tuongee biashara...
0 Reactions
6 Replies
985 Views
Muimbaji wa nyimbo za injili Paulo clement atafanya show jumapili ijayo katika kanisa LA M.I.C.C, 30/07/17.hivyo Nina kadi moja natoa bure kwa rafiki wa JF.kama utapenda kuja... PIA CHAKULA...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari nduguzanguni, Kama kichwa kisemavyo hapo, niko Mafinga ninafanya biashara ya mbao aina ya paina ama seplass, pia ukitaka milingoti inapatikana kwa wale wanaohitaji naomba wanicheki, mbao...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Naomba kujua bei ya mtama kwa mkoa wa Arusha na Kilimanjaro.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
karibu sami home Graphics design ... Tuna design Logo, Lebo kwa wajasiliamali, Matangazo ya mtandaoni, Business card, rollup banner,catalog, hotel & restaurant menu, business proposal,company...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
Habari wana jf,kichwa cha uzi hapo juu kinajieleza,nahitaji kujua bei ya sony experia z3 na ambae aliyewahi kuitumia ikoje kiutendaji Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Canter ina uzwa bei 23 mil From Japan Ya mwaka 2002 Imekuja Tanzania 2014 IPO order haina tatzo lolote muuzaji ndio anamatatizo kiuchumi(haikuhusu).Sio yangu ila nimemsaidia kupost ndugu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Am based in Mombasa Ke and am looking for a God fearing,trustworthy and faithful partner in Tz especially Dar.briefly am dealing in new clothing(men/women),shoes e.t.c.more updates to come.
1 Reactions
9 Replies
979 Views
habari wana jamvi kama ww ni mtaalamu wa mitishamba kwa ajili ya ugonjwa wa ugumba kwa wanawake ama una mfahamu mtaalamu wa mitishamba mwenye utaalamu huo tafadhali wasiliana na mimi 0759212578
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mashine za popcorn/Bisi zinauzwa zipo Dar es salaam mikoani tunatuma zimetumika na zinafanya kazi vizuri bei ni Tshs. 180,000/= mawasiliano 0672464970/0655748974
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Tunatoa huduma zifuatazo. 1. Preparation of concept note for academic researches. 2. Preparation of academic research proposals. 3. Preparation of research findings and report...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza mzani mpya kabisa, umegongwa bei ni Tsh 140,000. Tuwasiliane 0672550799
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Tunauza Chakula cha mifugo (kuku,nguruwe,ng'ombe) chenye virutubisho mara tatu ya chakula cha kawaida na bei yake ni nafuu zaidi Kwawanaohitaji au maelezo zaidi Wasiliana nasi kuputia namba hizi...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari waungwana, baada ya maisha kuhitaji akili kuliko wakati mwingine wowote nimefikiria labda mashine ya kusaga ya diesel inaweza kuwa mbadala wa kuongeza kipato maaana hali si hali. Mungu...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Naomba tujulishane bei ya mbegu za alizeti kwa sasa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
696 Views
Ndugu kwa yeyote mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kwa kuwa madish ninayo mengi tu. Nipo Mbeya, mwenye nacho please ni PM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari sasa unaweza jipatia website ya kisasa kabisa ikiwa na domain name ya bure (.Com) hosting ya mwaka mzima bureee Gharama ya kutengeneza website au blog za kisasa ni 150,000/= tu MALIPO NI...
1 Reactions
0 Replies
672 Views
Back
Top Bottom