MANK oriented GIS Group ,we offer different services concerning about GIS software,for more Information check get more feedbacks from the business card below.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta gari Starlet iliyo simama vizuri kama kuna mwenye nayo humu ndani anaweza nichek,pesa yangu kwa gari hiyo nayohitaji haizidi Milion 4.
PM namba yako iwapo unayo tuongee biashara...
Muimbaji wa nyimbo za injili Paulo clement atafanya show jumapili ijayo katika kanisa LA M.I.C.C, 30/07/17.hivyo Nina kadi moja natoa bure kwa rafiki wa JF.kama utapenda kuja...
PIA CHAKULA...
Habari nduguzanguni,
Kama kichwa kisemavyo hapo, niko Mafinga ninafanya biashara ya mbao aina ya paina ama seplass, pia ukitaka milingoti inapatikana kwa wale wanaohitaji naomba wanicheki, mbao...
karibu sami home Graphics design ... Tuna design Logo, Lebo kwa wajasiliamali, Matangazo ya mtandaoni, Business card, rollup banner,catalog, hotel & restaurant menu, business proposal,company...
Habari wana jf,kichwa cha uzi hapo juu kinajieleza,nahitaji kujua bei ya sony experia z3 na ambae aliyewahi kuitumia ikoje kiutendaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Canter ina uzwa bei 23 mil
From Japan
Ya mwaka 2002
Imekuja Tanzania 2014
IPO order haina tatzo lolote muuzaji ndio anamatatizo kiuchumi(haikuhusu).Sio yangu ila nimemsaidia kupost ndugu...
Am based in Mombasa Ke and am looking for a God fearing,trustworthy and faithful partner in Tz especially Dar.briefly am dealing in new clothing(men/women),shoes e.t.c.more updates to come.
habari wana jamvi kama ww ni mtaalamu wa mitishamba kwa ajili ya ugonjwa wa ugumba kwa wanawake ama una mfahamu mtaalamu wa mitishamba mwenye utaalamu huo tafadhali wasiliana na mimi 0759212578
Mashine za popcorn/Bisi zinauzwa zipo Dar es salaam mikoani tunatuma
zimetumika na zinafanya kazi vizuri
bei ni Tshs. 180,000/=
mawasiliano
0672464970/0655748974
Tunatoa huduma zifuatazo.
1. Preparation of concept note for academic researches.
2. Preparation of academic research proposals.
3. Preparation of research findings and report...
Tunauza Chakula cha mifugo (kuku,nguruwe,ng'ombe) chenye virutubisho mara tatu ya chakula cha kawaida na bei yake ni nafuu zaidi
Kwawanaohitaji au maelezo zaidi
Wasiliana nasi kuputia namba hizi...
Habari waungwana, baada ya maisha kuhitaji akili kuliko wakati mwingine wowote nimefikiria labda mashine ya kusaga ya diesel inaweza kuwa mbadala wa kuongeza kipato maaana hali si hali.
Mungu...
Ndugu kwa yeyote mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kwa kuwa madish ninayo mengi tu. Nipo Mbeya, mwenye nacho please ni PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari sasa unaweza jipatia website ya kisasa kabisa ikiwa na domain name ya bure (.Com)
hosting ya mwaka mzima bureee
Gharama ya kutengeneza website au blog za kisasa ni 150,000/= tu
MALIPO NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.