Nyumba iko nyasubi Kahama ,ina vyumba vitano vya kulala na sebule moja, pia maji, umeme vinapatikana.
Ina fance ya nyumba ingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka ...
Africa Feeders Company Limited wanakuletea unga safi, mweupe wa muhogo kwa ajili ya ugali, chapati, maandazi, mikate na matumizi mengine mengi.
Packages za 5kg, 20kg na 50kg.
Kwa order uletewe...
Mwanangu amevunja tv yangu ya inch 40 kwa kuipiga na remote! Na kwa bahati mbaya imevunjika screen kama inavyoonekana ktk picha hapa chini [emoji116]ninaomba msaada kama kuna mtu anayo au anamjua...
Simu Alcatel 5023F inauzwa ni ya mwez wa 3.
Laini mbili na betri yake inadumu sana yaani 5000mAh
Bei ni 150000(mazungumzo yapo)
Mawasiliano: 0765329261
Nipo Iringa( Mbeya,Dodoma,morogoro...
BEI ZA VITABU
Vitabu vifuatavyo vyenye kanuni (formulations) za utengenezaji wa bidhaa mbali mbali vinapatikana kama soft copies yaani wakati wa kulipia kitabu husika...
Shamba linauzwa lina ukubwa wa ekari tatu lipo dodoma mjini maeneo ya mzani(nala),umbali wa kama kilomita zisizozidi 12 kutoka town cente na kamaita 700/800 kutoka barabara kuu ya lami iendayo...
Nauza viwanja 4 vimepimwa vipo Mapinga eneo la kiharaka kimoja kina nyumba ya vyumba 3 kuna umeme wa Tanesco na kuna kisima kimechimbwa.Nyumba ya pili ina vyumba vi nne vya kupangisha.
Kama...
AAnaehitaji viungo halisi vya kupikia chai, pilau na mboga mbalimbali, viungo ni halisi kabisa, pia Tunasambaza matunda ya aina zote ukihitaji tunakufikishia mpaka ulipo, kwa mawasiliano...
Wakuu poleni kwa majukumu ya kila siku na mihangaiko yoote.
Nirudi kwenye topiki. Nina asali ya nyuki wakubwa kiasi cha debe 10. pia nina nta. Vyote hivi vinauzwa. Niko hapa Dar. Naomba kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.