Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Masharti ya gari hiyobiwe 1.Namba C au D 2.Isizidi Cc 1350 3.imetembea km chache chini ya laki mbili 4.Haijawahi kugongwa wala kupakwa rangi 5.Transfer fee na law procejures tunachangia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Color Beige, CC 1490 AB ABS AW NV TV, 90,000km Total cost Tsh 9.8Mil + Ushuru Agiza nami: call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com ..wakati wote ni wakati wa kazi..
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Our Company '' EXPERT SERVICE investment Ltd '' We offer Fumigation services and Pest Control service for : 1.Office &household 2.Compound (a) farm (b) Construction sites 3 . Warehouse...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Nina samsung min Hdd320 Intel Ram 2 Betri haikai na chaji Spika inatumia za nje ama earphone Ipo poa kila kitu Sina bei kubwa 180000 tu mwisho Nakuachia ukaenjoyukaenjoy Contat 0655997761
0 Reactions
5 Replies
959 Views
habar za muda huu jaman. kuna simu inauzwa n samsung s3 n nzma haiana tatzo kbsa. anayeitaka aje PM bei n 180,000/= maelewano pia yapo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
988 Views
Kwa wale wanaohitaji blogs au wanazo na wanahitaji kurekebishiwa zionekana za kibiashara ni kwa mtonyo wa 10000 tu nichek PM au nitumie text through my no. 0752292473 Blogs bora hukufanya umake...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Habari za majukumu wanabodi, kama mada inavyojieleza,,ninababu yangu kanikabidhi Lita mia mbili za asali toka tabora..sina uzoefu WA bei harisi kwa hapa dar es salaam. Naomba mwenye ufaham na soko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taja simu ya kisasa yenye kamera kuanzia 8 mp, ram 1 au 1.5, display 4.5 au 5. Kama ipo yenye zaidi ya hivyo au sawa na hivyo tusaidie kushare. Warning: isiwe used au model za tecno, itel na...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Bei ina range kati ya Tzs 33,000 to 60,000 kwa jumla. What's up 0789496898 or 0719525506
1 Reactions
15 Replies
15K Views
Wadau natafuta complete set ya King'amuzi cha AZAM TV kwa bei ya awamu ya tano aka bei chee, mwenye nacho ataje bei hapahapa jukwaan. Nikiona inalipa ndo tunaenda PM.
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo, Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi Wote mnakaribishwa kuweka order zenu +255752563313
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kampuni yetu ya one2onefocus limited yenye makao makuu jijini Dar maeneo ya Makumbusho complex inakutangazia viwanja vilivyopimwa maeneo ya kisarawe kazimzumbwi ukubwa wa kiwanja ni mita 25 kwa 30...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Nauza iPad 2,64gb,simcard support.. Used but in good condition.. Tatizo ni speaker inakoroma sometimes... Goes for 180ky
0 Reactions
0 Replies
456 Views
Hello wakuu hopefully wazima wa afya ndugu zangu nauza Godoro la 6*6 kwa sh 70000 elfu na carpet la manyoya kwa sh 50000 tu karibuni napatikana Sinza mori .kwa no 0620685593. Sent using Jamii...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Wadau nauza scooter yamaha ambayo ni automatic (kama Gari) yaan ni mafuta na break tu. Nauza kwa Tsh. Mil. 2.8 tu. Scooter ipo Dar. Karibuni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu Nauza simu original used kwa bei za tajiri aliyefilisika,napatikana Mozambique kwa picha na bei please whatsapp me namba +258844910662
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Work Station Laptop for Sale: HP Pavilion, 12 RAM GB, 1 Terabyte Storage, Touch-Screen, i5. Tshs 800,000 (bei hii ni kwasababu screen ina crack, yaani kulia ni Touch kushoto ni Kawaida - utanotice...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Color Silver, CC 1990, AB ABS AW FOG NV 127,000km Total Cost Tsh 11.5Mil + Ushuru Agiza nami: Call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com
1 Reactions
0 Replies
830 Views
Habari zenu? Nina maharage menkundu takribani gunia 30,nayauza kwa bei ya 142,000/= kwa gunia lenye kilo 100. Mwenye kuhitaji awasiliane nani 0752489529 Maharage yapo Arusha mjini.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Majiko haya ni zao la ubunifu wa hapa hapa inchini kwetu Tanzania, majiko haya yaweza kutumika kwa matumizi madogo madogo ya nyumbani kama kupikia chai,kuchemshia vyakula,n.k Majiko hya ni rafiki...
2 Reactions
25 Replies
14K Views
Back
Top Bottom