Habari za muda huu, kwa wapenzi wa ubuyu na wajasiriamali.. Nauza ubuyu kutoka Zanzibar kwa elfu 33 tu ndoo ndogo ya lita 10,ubuyu Mtamu.. Na napokea oda kwa idadi unayoitaka.. Ubuyu unapikwa...
Magari yafatayo yako sokoni hapa na weka picha moja moja na bei kwa maelezo zaidi juu ya (millage,model,cc,colour,Transmission)
Nenda hapa kwenye Blog yetu mpya MAGARI au piga...
Nauza vifaa tajwa hapo juu kwa bei ya kutupa kabisa
Vifaa vya saluni
Vito viwili kila kimoja 45000/=
Vioo viwili kila kimoja 45000/=
Mashine mbili bado mpya zina miezi mitatu tu kila moja 50000/=...
Wakuu habari za jioni, Shukrani zangu za dhati zimuendee mwenyenzi Mungu kwa kutupa uhai mpaka sasa na waandika uzi ya kujing'amua kiuchumi kupitia ujasiriamali.
Bila kupoteza muda, ningependa...
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 5 kutoka Million 8...
Habari wakuu,
Naomba kujua soko la hii bidhaa kwa mji kasoro bahari. Eneo ninaloishi yanapatikana kwa wingi sana hadi nimeshawishika kujaribu kuyafanyia biashara. Kwahiyo naomba mwanga kidogo...
Nauza shamba muheza ni ekari 40,bei yake ni 5 million..tuwasiliane.
=====
Limesafishwa kama ekari tano hivi
Chanzo cha maji kuna mto pale haupo mbali na shamba walkable distance,
Lina...
Wakuu mwenye kuelewa na kujua zinapopatikana heater za sola za kuchemshia maji...au chai..anijuze ..garama na zinapopatikana ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau.
Natumai mu-wazima wote, kama mada inavyojieleza wadau nahitaji kioo cha L9+ wakuu mwenye nacho au mwenye kufahamu wapi wanauza naomba msaada wakuu.
Natanguliza Shukran.
Thanks...
Habari wakuu.. Kwa wale wanaohitaji kuwa na blogs, website au mobile app, tunafanya huduma hizo za kutengeneza kwa bei nafuu kabisa na kwa muda mfupi tu kazi yako inakamilika pia tunaweka...
Wakuu habari zenu,ninatafuta shamba la kukodi Ruvu nataka nifanye kilimo cha Umwagiliaji.
Naomba kwa mwenye taarifa au msaada wwte anisaidie.
0625568600
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu habari ya jioni, mbunge wa viti maalumu mkoa wa iringa, kaleta wakufunzi wa mafunzo ya ujasiliamali ,"YATAKAYO TOLEWA BURE KATIKA UKUMBI WA OLOFEA MJINI IRINGA, KUANZIA JUMATATU YA TAREHE...
Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba maeneo ya mbezi beach,bahari beach,ununio,Mbweni, mikocheni, osterbay , masaki na Dodoma nk wasiliana nasi kwa haraka na uhakika zaidi
0756060183
Sent...
Habari zenu ndugu Wajasiriamali
Nahitaji kufaham wapi naweza pata Vifungashio vya Nylon (mfano wake km ivi vifuko vya Chumvi au vifuko vya Sukari ile ya Kilo1) ili niweze kufanya Packaging ya...
Kuna kiwanja kinauzwa,kipo Kibamba kibwegere kwa Kong'wa.
Kina ukubwa sqm 30 kwa sqm 18. Bei n 2M, vipo viwili pamoja,kwa anaehitaji,karibuni sana.kutoka Kibamba lami (morogoro road),nauli ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.