Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinauzwa kipo mbagala kongowe -mlamleni .Kutoka barabara ya lami ni dk 15 kwa mwendo wa gar. Ukubwa wake ni 20/20 Bei imepungua kutoka mil 3. Ukihitaji kupaona utapelekwa...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Baada ya Bomoa bomoa inayotukumba Katika Jiji la Dar hasa hasa Kimara hadi Kibamba. Nimeamua kufunga biashara yangu ya Duka. Nilikuwa na Duka/frem ambayo nilikuwa naendesha angalau maisha yangu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wakuu Naomba msaada kwa yoyote anayeweza kuwa anauza hicho kifaa,au anafahamu mahali wanapouza anisaidie Ahsanten sana
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu mm si mwenyeji sana mwanza ivyo nahitaji kama kuna mtu ajua kuna nyumba sehemu kuanzia GHANA HADI AIRPORT karibu na barabara tafadhari tusaidiane...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
jamaan nauza simu aina ya itel. ni mpya nmenunua haijafikisha hata week moja toka niinunue na risit ipo. ni s31 ina GB 16 bei ni 170,000/= anayehitaji anichek kwa hii namba 0757785883 Sent...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nauza laptop yangu Specs/Wasifu: Brand: HP 655 Processor: AMD E1- 1200 APU with Radeon Graphics System type: x64 RAM: 2GB HDD: 320GB Display:15"5 inches LED Battery: 3+ hrs Nahitaji 350k...
0 Reactions
3 Replies
928 Views
Habari, nauza sabuni nzuri mno inayoondoa chunusi, madoa na kutibu magonjwa yote ya ngozi inapatikana kwetu kwa sh 7000,popote tunatuma Call/Watsap 0754889338 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko na vyoo. Iwe maeneo ya Mbezi beach hadi Tegeta au Kunduchi - Dar es salaam. Iwe na maji na umeme na pia iwe na fensi. Bajeti ni laki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
*PHYTOSCIENCE*Hi ni multilevel marketing company ambayo makao makuu yako nchini Malyesia,ili Anza mwaka 2012 baada ya kufanya utafiti wa Hali ya juu kuhusu products zake na kuona utendaji wake...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Iwapo unaitaji kufungiwa CCTV Camera iwe nyumbani, Ofsini, katika warehouse, stoo na sehemu mbalimbali usisite kuwasiliana nasi sisi Right Click Solutions Tanzania. - Usisite kuwasiliana na sisi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wadau.. ninauza laptop yangu asus net book eepc.. bei laki 2 na nusu tu... inakaa na chaji 2 hours. ina 2g ram na 300 gb hard disk nia yangu niuze ninunue desktop kubwa kwa kazi zangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Clean condition tablet inauzwa. Haina mchubuko wala mkwaruzo. Storage 8Gb Samsung nyeusi. Bei ni Tsh 180,000 Inapungua kidogo 0654846084 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Rejea hapo juu kwa mtu au fundi yeyote mwenye used brower naihitaji bei chin i ya laki..shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nafasi za masomo za kujiunga na kozi ya pharmacy kwa miaka miwili kwa kozi ndefu kwa mtu mwenye ufaulu wa alama D katika chemistry na biology na miezi nane kwa kozi fupi hasa kwa wale...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari za aaubuhi wakuu naweza pata gari toyota 1 st used iwe number D Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Natafuta Nyumba ya kupanga vyiumba viwili hadi vitatu mazingira yawe mazuri ya kuvutia. Maeneo kuanzia kimara mpaka Mbezi. Isiwe mbali sana na barabara. Kodi laki moja mpaka laki moja na ishirini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeamua kuandika kitabu kinachoitwa JIINGIZIE KIPATO MTANDAONI KUPITIA BLOG ili kiwe mwongozo na msaada mkubwa kwa Wanaotaka Kujiingizia kipato kupitia Blog. Kitabu kinapatikana katika mfumo wa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Nimepata control number sasa nashindwa kulipia mpesa je nafuata njia gani kulipia naomba msaada
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unauza dhahabu yako unaweza kunitafuta nipo dar es salaam...bei inatofautiana kulingana na kareti na asilimia ya dhahabu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom