Kiwanja kinauzwa kipo mbagala kongowe -mlamleni .Kutoka barabara ya lami ni dk 15 kwa mwendo wa gar.
Ukubwa wake ni 20/20
Bei imepungua kutoka mil 3.
Ukihitaji kupaona utapelekwa...
Baada ya Bomoa bomoa inayotukumba Katika Jiji la Dar hasa hasa Kimara hadi Kibamba. Nimeamua kufunga biashara yangu ya Duka.
Nilikuwa na Duka/frem ambayo nilikuwa naendesha angalau maisha yangu...
Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu mm si mwenyeji sana mwanza ivyo nahitaji kama kuna mtu ajua kuna nyumba sehemu kuanzia GHANA HADI AIRPORT karibu na barabara tafadhari tusaidiane...
jamaan nauza simu aina ya itel.
ni mpya nmenunua haijafikisha hata week moja toka niinunue na risit ipo.
ni s31
ina GB 16
bei ni 170,000/=
anayehitaji anichek kwa hii namba
0757785883
Sent...
Habari, nauza sabuni nzuri mno inayoondoa chunusi, madoa na kutibu magonjwa yote ya ngozi inapatikana kwetu kwa sh 7000,popote tunatuma
Call/Watsap 0754889338
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko na vyoo. Iwe maeneo ya Mbezi beach hadi Tegeta au Kunduchi - Dar es salaam. Iwe na maji na umeme na pia iwe na fensi. Bajeti ni laki...
*PHYTOSCIENCE*Hi ni multilevel marketing company ambayo makao makuu yako nchini Malyesia,ili Anza mwaka 2012 baada ya kufanya utafiti wa Hali ya juu kuhusu products zake na kuona utendaji wake...
Iwapo unaitaji kufungiwa CCTV Camera iwe nyumbani, Ofsini, katika warehouse, stoo na sehemu mbalimbali usisite kuwasiliana nasi sisi Right Click Solutions Tanzania.
- Usisite kuwasiliana na sisi...
habari wadau..
ninauza laptop yangu asus net book eepc.. bei laki 2 na nusu tu...
inakaa na chaji 2 hours.
ina 2g ram na 300 gb hard disk
nia yangu niuze ninunue desktop kubwa kwa kazi zangu...
Clean condition tablet inauzwa. Haina mchubuko wala mkwaruzo. Storage 8Gb Samsung nyeusi.
Bei ni Tsh 180,000
Inapungua kidogo 0654846084
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafasi za masomo za kujiunga na kozi ya pharmacy kwa miaka miwili kwa kozi ndefu kwa mtu mwenye ufaulu wa alama D katika chemistry na biology
na miezi nane kwa kozi fupi hasa kwa wale...
Natafuta Nyumba ya kupanga vyiumba viwili hadi vitatu mazingira yawe mazuri ya kuvutia. Maeneo kuanzia kimara mpaka Mbezi. Isiwe mbali sana na barabara. Kodi laki moja mpaka laki moja na ishirini...
Nimeamua kuandika kitabu kinachoitwa JIINGIZIE KIPATO MTANDAONI KUPITIA BLOG ili kiwe mwongozo na msaada mkubwa kwa Wanaotaka Kujiingizia kipato kupitia Blog.
Kitabu kinapatikana katika mfumo wa...
Kama unauza dhahabu yako unaweza kunitafuta nipo dar es salaam...bei inatofautiana kulingana na kareti na asilimia ya dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.