Wadau natafuta complete set ya King'amuzi cha AZAM TV kwa bei ya awamu ya tano aka bei chee, mwenye nacho ataje bei hapahapa jukwaan. Nikiona inalipa ndo tunaenda PM.
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo,
Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi
Wote mnakaribishwa kuweka order zenu
+255752563313
Kampuni yetu ya one2onefocus limited yenye makao makuu jijini Dar maeneo ya Makumbusho complex inakutangazia viwanja vilivyopimwa maeneo ya kisarawe kazimzumbwi ukubwa wa kiwanja ni mita 25 kwa 30...
Hello wakuu hopefully wazima wa afya ndugu zangu nauza Godoro la 6*6 kwa sh 70000 elfu na carpet la manyoya kwa sh 50000 tu karibuni napatikana Sinza mori .kwa no 0620685593.
Sent using Jamii...
Wadau nauza scooter yamaha ambayo ni automatic (kama Gari) yaan ni mafuta na break tu. Nauza kwa Tsh. Mil. 2.8 tu. Scooter ipo Dar. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Work Station Laptop for Sale: HP Pavilion, 12 RAM GB, 1 Terabyte Storage, Touch-Screen, i5. Tshs 800,000 (bei hii ni kwasababu screen ina crack, yaani kulia ni Touch kushoto ni Kawaida - utanotice...
Habari zenu?
Nina maharage menkundu takribani gunia 30,nayauza kwa bei ya 142,000/= kwa gunia lenye kilo 100.
Mwenye kuhitaji awasiliane nani 0752489529
Maharage yapo Arusha mjini.
Majiko haya ni zao la ubunifu wa hapa hapa inchini kwetu Tanzania, majiko haya yaweza kutumika kwa matumizi madogo madogo ya nyumbani kama kupikia chai,kuchemshia vyakula,n.k
Majiko hya ni rafiki...
MANK-GIS Natural resources integrated solutions ni kikundi cha Vijana wahitimu wa elimu ya juu.
Kwa kifupi ni kwamba ni kikundi cha Wataalam wa kada mbali mbali ikiwemo kada ya Maji na...
Emirati Women come together at Etihad Aviation Group’s Head Quarter in Abu Dhabi to celebrate Emirati Women’s Day by hosting a special event at the EAG in Abu Dhabi
Women account for 51 per...
Shamba ekari tatu zinauzwa kila moja 65ml. (Mazungumzo yapo)
Shamba liko Moshi mailsita weruweru kaskazini kutokea barabara ya Arusha moshi.
Pia liko mita 400 kutoka main rd ya Moshi to Arusha...
Habari wana jamvi..
Nauza unga bora WA lishe wenye virutubisho vinavyomsaidia mtumiaji kuongeza uwezo wa kumbukumbu, kuimarisha mifupa, kuongeza nguvu ya mwili, kupunguza mafuta yasiyotakiwa...
Haya tena kama una tatizo la nguvu za kiume na heshima inakaribia kuisha huko nyumbani hebu tuwasiliane. Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume ile yenyewe kabisa. Ni dawa ya mitishamba katika...
Dawa hii ni ya asili kutokana mkoani Tanga. Haijachanganywa na kemikali yoyote ipo katika mfumo wa unga unga.
Matumizi: utaweka kijiko kimoja cha chakula kwenye supu au kinywaji chochote. pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.