Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Specificatiion Front camera8mp Back camera 13mp 16gb rom 2gb ram Price 310000 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Nauza Subwoofer aina ya Sea Piano bado mpya kabisa, ina box lake, remote control, audio cables, speaker 2 za stereo. Ina option ya ku playa kwa Bluetooth, memory card na flash disk, pia...
1 Reactions
13 Replies
12K Views
Naomba tuwasiliane kwa mahitaji Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
4K Views
BamizaBlog ambayo unaweza kutumia kwa matumizi yoyote iwe habari,burudani na michezo ina zaidi ya viewer 538,338 ambayo ni nzuri kuanzia kibiashara MaishaKiasiBlog ambayo unaweza kutumia kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Kipo Mbagala, kongowe-Mlamleni Ukubwa 20/20 Bei sh Mil 3.(Maongez yapo) Hakina Hati mauziano serikali ya mitaa Ukihitaji kupaona inawezekana Nb Mimi sio Dalali ni kiwanja changu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF Yaani nahangaika kutafuta fensi nzuri ya nyumba nimetuma mafundi mbali mbali dar na mikoa mingine hamna ukuta walio nilitea nikaupenda,nikagoogle hamna kitu... Naomba humu kama kubafundi...
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Mwenye sim tajwa hapo juu kuna 350k Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
708 Views
Wakuu naomba kujua bei ya jumla ya cement ya Simba na Nyati kwa hapa dar ya madukan au viwandani. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta mtu anayeuza korosho ambaye anasambaza kwa maduka mengine au ambaye anauza kwa kilooo anipigie simu tuongeee tufanye biashara nataka haraka Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
951 Views
NEW HP PROBOOK 450 G3 CORE i5 FOR SALE. SPECS: PROCESSOR : Core i5 2.3 GHz( 6th generation) RAM: 4GB DDR3 HDD: 500GB BATTERY: 5HOURS WITH: WINDOWS 10 PRO, MS OFFICE 2016,ADAPTER,web camera...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Our Company '' EXPERT SERVICE investment Ltd '' We offer Fumigation services and Pest Control service for : 1.Office &household 2.Compound (a) farm (b) Construction sites 3 . Warehouse...
0 Reactions
2 Replies
904 Views
Habari wakuu, Natafuta piki piki used aina ya boxer ,yenye sifa zifuatazo; 1.Isiwe imetumika zaidi ya mwaka 2.Bei isizidi milioni moja Simu:0713-039875
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Wakuu natafuta Bajaj TVS iliyokatika Hali nzuri kwa anayeuza kwa Bei pouwa ani pm
0 Reactions
7 Replies
943 Views
Habar wapendwa naomba nijuzeni mbegu bora za Spinachi nifanye Bustan hapa Nyumbani. Naomba kuwasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Nahitaji Samsung s8+ demo. Offer 200k Contact 0762937396 Location mlimanicity mall Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
768 Views
Habar zenu wana jf;<br />Kuna nyumba inauzwa ipo mwananyamala B" bei yake tsh 20ml ina vyumba tisa karibu(siitaji dalali) kwa maelezo nichek 0717 550291 au PM<br /><br />Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nauza kiwanja changu maeneo ya Kigamboni Malimbika. Eneo Nizuri sana kilometa 1 kutoka barabara ya lami. Ukubwa ni heka 1 Umeme wa Tanesco na bomba la maji vinapita jirani barabarani bei yake ni...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nahitaji uwanja wa maeneo ya Goba au Kinyerezi pasiwe Bondeni, pasiwe mbali sana na barabara kuu. Ukubwa wa uwanja sq 900,(30x30), sihitaji chini ya hapo, pia kiwanja kisiwe na mgogoro wowote...
0 Reactions
4 Replies
652 Views
Nunua bidhaa kwa urahisi! Kwa wale wapenda vitu vya kijanja na kwa bei rahisi, bonyeza link hii kujiunga na mtandao wako. KiKUU Online Shopping Mall Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
748 Views
hello wana JF,kwa mwenyekujua mahali nitapaweza kuwapata bata bukini au wale wenye midomo ya njano tusaidiane mimi nipo dar na nataka kuanza ujasiriliamali na hao bata pamoja na bata maji thanks
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom