Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau, Nahitaji kiwanja maeneo ya Goba, kiwe kikubwa wastani na kisiwe mbali na barabara ya Goba, kutembea kwa mguu sio zaidi ya dakika 15 kutoka stend/barabara kuu ya Goba. Dau langu ni 10m.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Za asubuhi wadau Nahitaji line ya M-Pesa anaye uze anicheck PM NB: ikiwa ni zile double line itakuwa poa zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kama uzi unavyosema, nahitaji meza na viti za ofisi, kama unavyo pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa, Mzani ni kama mpya umetumika kwa miezi 6 tu, unauwezo wa kupima kg500 kwa Mara moja, mzani upo Goba Dar es salaam, bei yake ni Tsh 650,000 tu Kwa atakayehitaji anicheck kwa...
0 Reactions
5 Replies
44K Views
jamani massage inasaidia kurelax mwili
1 Reactions
17 Replies
9K Views
Habarini wadau Nafuta vijana wa kiume au wa kike wanaoweza kufanya kazi ya mgahawa kuuza chips/mishikaki chakula kama wali/ugali kupika supu na chapati. Kama wapo na wanamtaji wanione pm kuna...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wenyeji wa Arusha na Moshi natafuta frem iliyokaa mahar pazur kwa ajil ya biashara ya nguo za mtumba pamoja na viatu yeyote mwenye access nayo ani pm wandugu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
MAURICE EDUCATION ACADEMY inawasogezea huduma ya pre form one kwa miezi mitatu elfu arobaini tuu masomo yote ya msingi (basic studies) yatafundishwa . tupo mbagala mbande stendi OFA zitolewazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana Ninauza kiwanja changu kilichoko nje kidogo ya jiji la Tanga ukivuka tu mizani ya pongwe kijiji kinachofuatia kinaitwa KILAPULA, kina ukubwa wa 40/50 yaani upana 40. No...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello, jamani visheti vya Nazi hivyo Kikopo 1000 (Delivery kuanzia vikopo 5 na unanichangia nusu ya nauli) Jumla 800 kuanzia PC 30 Location Ubungo Call 0714547830 invest what you are...
4 Reactions
28 Replies
11K Views
Pata genuine software ya Microsoft office 2016 kwa bei sawa na bure. Pia pata installation ya genuine Microsoft windows 10, 7 ama 8 kwa bei sawa na bure. Utapata software hizo kwa bei rahisi na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nipo Mbezi beach bei 330 (negotiable) cont: 0713774746
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF! Kama heading inavyojielezea, leo nawaletea novels kuanzia bibliography za watu mbali mbali,drama mpaka fiction! Zinapatikana kwa muundo wa PDF na EPUB!! kwa wale ambao hawana EPUB...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
*Kama utakipenda chochote hapa njoo PM tuzungumze biashara* 1. Freezer aina ya philips Tsh 80,000/=. Haina mlango wala mtungi wa gesi . 2. Feni ya chini Tsh 8,000/=. Inawaka kwa machale.. yaeza...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama topic inavyojieleza. Nipo Dar, nataka kitanda cha chuma au mbao cha ukubwa wa 5×6 njoo PM tufanye biashara Sent from my TV
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF Nauza viti vilivyotumika. vimetumika miez 3. Ni vizuri kwa kukodisha kwenye shughuli kama harusi, mikutano, semina, misiba, nk. Vipo viti 200. Vinapatikana Iringa mjini. Bei...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu. Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani. Bei ni million 5 kutoka Million 8...
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Habari zenu, Naomba kuuliza eti simu ya Android aina ya wiko jelly ni shiling ngapi bei yake kwa anaejua anisaidie. Asante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina tani kazaa za mashudu ya alizeti na pumba za mahindi, natafuta soko nipo Tabora.
3 Reactions
7 Replies
6K Views
Pendeza kwa kuvaa viatu vikali vya mtumba kwa bei nafuu, jiunge kwenye group letu kupitia link hii hapo chini uweze kupata picha za kazi pindi tunapozipata viatu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom