Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Trekta Massey Furgesorn MF255,Hp 80 namba DHU Linauzwa 22M maongezi yapo.
0 Reactions
0 Replies
558 Views
power bank inauzwa 15000 tu
0 Reactions
4 Replies
712 Views
Habari wakuu, Inatafutwa iphone mpya au used yenye condition nzuri. Iwe kuanzia iphone six na kuendelea, storage size yoyote na muuzaji awe ndo mmiliki halisi wa hiyo simu (kwa uthibitisho)...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu nauza simu ya Tecno Phantom six kwa sh 430000 ina miezi miwili tangu itoke dukani na warranty card yake ipo.Nimepata shida ya haraka ndo mana nimeona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Toyota premio year : 2004 engine: VVTI KM : 94000 MIL 12,000,000
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Ni mitsubishi gx-560st bei ni laki 6 ukiihitaji ni pm
0 Reactions
4 Replies
843 Views
Kama unayo kwa 10000/= haiongezeki, haipungui, chamsingi isiwe kimeo, njoo pm.
0 Reactions
7 Replies
698 Views
Jengo /frame za kisasa kubwa za biashara zinakodishwa Mtoni Kijichi CCM laki 5 kwa mwezi kila moja. Lipo karibu na tawi la CRDB kijichi. Jengo linafaha kwa shughuli za ofisi au biashara ambayo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauza ukubwa sqm 4530 kipo maenoo ya mnara wa vodacom Mbezi Juu meta 30 kutoka Barbara ya lami inayoenda goba.bei 200 milioni mazungumzo yapo serious buyer only.contact 0756249110/0715249110
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habar zenu,,nina rafiki yangu ameniomba nimsaidie kutafuta pahala wanapouza au mtu anayeuza (used) macbook air zile mini af zinakuaga nyeupe, mimi kiukweli hata sijui pa kupatia cause hata...
1 Reactions
77 Replies
8K Views
wakuu leo nimebadilisha matairi manne Tubeless ya gari Langu 2001 Land cruiser Prado, bado yana hali nzuri sana na yanafaa kwenye Prado, Pajero etc yanayotumia (265/70 R16)..ni hayo manne kutoka...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wanaJF, nahitaji kiwanja Mwanza kwa gharama isiyozidi million 2 kamili,kiwe tambarare, maeneo yaliyopimwa na karibu na huduma za maji na umeme kwa mwenye nacho ama mwenye taarifa...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Natafuta dehaydrator ndogo kwa matumizi ya ndani. Kwa ambaye anafahamu napoweza ipata hapa Tanzania anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Habari zenu wananzengo, Ninauza magunia ya mahindi ya 100kg @100,000/= kama unahitaji kwa idadi utakayo naomba tuwasiliane tufanye biashara. Mzigo upo store wa kutosha. Mawasiliano: 0625568600
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Habari zenu wana jamvi, nina sumsung s4 naiuza kwa 300000,niko Tanga kwa alie shawishika tuwasiliane pm.
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Kiwanja kipo umbali wa mwendo wa dakika3 kutoka kituoni Magole. Ukubwa wa eneo ni sqm400 ambalo lipo tambarale(bila kijimlima wala muinuko wa aina yoyote). Bei ni milioni sita na makubaliano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za saa hizi great thinkers msaada tafadhali, nahitaji gari ya kukodi (self drive) Dar kwa muda wa siku 2 au 3 kuanzia tare 13 - 15 mwezi Ujao. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kinyerez SONGAS. BEI.MILLION 5. UKUBWA. MITA 2OX20. CONT.PM
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo dsm..ni 0658327429
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Back
Top Bottom