Gari nzuri ya kukodi Dar

Gari nzuri ya kukodi Dar

chardams

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
2,450
Reaction score
1,753
Habari za saa hizi great thinkers msaada tafadhali, nahitaji gari ya kukodi (self drive) Dar kwa muda wa siku 2 au 3 kuanzia tare 13 - 15 mwezi Ujao.

Asanteni.
 
Vipi ile Gari yako Xtrail ishajamba mpaka umeamua kukodi gari au zilikuwa ni fix tuu?
 
Vipi ile Gari yako Xtrail ishajamba mpaka umeamua kukodi gari au zilikuwa ni fix tuu?
Rafiki hatuishi maisha ya kuigiza. kwa taarifa yako siko Dar.
Acha kuishi maisha ya kukariri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom