Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu amani iwe nanyi. Natafuta trekta ya kukodi kwa muda wa miezi 6. Iwe ni hp 75 na 4wd. Kwa mwenye nayo tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Baby walker za kitanzania Kwa bei nafuu kabisa tshs 20,000 Tunakuletea popote ulipo Dar es salaam (Free Delivery) Call/SMS/Watsap 0743502618
3 Reactions
11 Replies
6K Views
Kwa wale wanaohitaji mashamba, kuna mashamba yanauzwa. MAHALI: Pangawe MOROGORO. BEI: MILION 3 kwa HEKA moja. MAWASILIANO: 0676 414 696 0762 449 799
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanaweek 7 niwakubwa na wenye afya Bei 70000tsh Kwa mawasiliano +255625588676 Wapo Dar es salaam boko msikitini
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni mjasiriamali mjini Moshi. Nina akiba yangu ya fedha sh 3,000,000 nauliza kwa wajuzi je naweza kupata gari ndogo nzuri nadhifu ya kufanyia mizunguko yangu ambayo haijachakaa na kufunguliwa...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Pata asali mbichi ambayo haijachakachuliwa wala kuongezwa majii kuanzia robo lita paka lita 20 kwa bei nafuu kabisa tupo tegeta mbweni ila pia ukitaka tukuletee paka kwako baso tutakufanyia freee...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
unayo au unajua hii substance inapopatikana? Tafadhali tuwasiliane MP
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Maji yapo, umeme imeshalipiwa,bado kuingiza tu. Nyumba IPO katika finishingi,wiring ya maji na umeme tayr,inafens na parking ndogo. Vyumba vitatu vya kulala,stoo,,jiko,dining,longe, vyoo public...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kichwa Cha habari Cha Usu. NYUMBA inavyumba Vitatu Vya Kulala,Kimoja self.Hipo Eneo Safi Kabisa BEI laki na 70.Kulipia ni Miezi 6 MAELEZO ZAIDI Nicheck namba +255625676643 N.b Hakuna ya Udalali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza simu tajwa hapo juu Simu ni mpya kabisa haina tatizo lolote sababu ya kuuza Simu iyo ninashida na hela bei Yake ni tsh 200,000/= na Simu ina kila kitu charger Yake original,kava,box lake na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ps 4 slim Full box Pad 1 Rangi ya gold Gb500 950,000
0 Reactions
2 Replies
718 Views
Kwa wapenzi wa kusoma riwaya mbalimbali za kusisimua mnakaribishwa MASIMULIZI.wasiliana nasi 0764294499
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari mkuu kwa yeyote mwenye duka,fundi simu nahitaji hiyo housing check tufanye biashara.
1 Reactions
1 Replies
914 Views
Habari za majukum wanajamvi, Nauza shamba lenge ukubwa wa ekari 4 kwa thamani ya Tsh.5M lililopo Bagamyo katika kijiji cha kidomole. Kwa anaehitaji aje pm tuyajenge au anicheck kwa. 0713201541
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji korosho nusu
0 Reactions
5 Replies
934 Views
Namtafuta huyu Dada Anaitwa Neema Thomas. Miaka ya 1995 Alikuwa anaishi kwa Mzee Tenga, Bomboa Area Tanga. Ni mwenyeji wa Muheza.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta mojawapo ya hizo simu tajwa hapo juu, mwisho wangu ni tsh 250,000.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye moderm kati ya hizo tuwasiliane please. bei maelewano nipo dar nipm kama unayo. tufanye biashara
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa sasa zipo 16GB bei 20000/= Tsh Original flash disk Real capacity Long life morogoro 0713055107 Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta fundi wa kitanda "ARUSHA" wa kutengeneza hichi kitanda, naishi maeneo ya barabara ya njiro
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Back
Top Bottom