Nina eneo la ardhi 7mx10 m Sinza natafuta bwana/bi kilimo bustani atoe ushauri wa kitaalamu mikakati ya kuvuna mazao kwa eneo hilo na kupata walau shilingi 400000 kwa mwezi ,mawasiliano 0654347423
Habarini wana jf, leo nimeona niwashirikishe mafunzo mazuri ya Ujasiriamali yatakayokupa maarifa yakuweza kumudu biashara na shuhuli nyengine za kukuingizia kipato.
Kumbuka katika mafunzo haya...
Noah road tour ya model 1999 yenye detail zifwatazo
Engen 3s
Cc1998
Katika noah zote hii ndo model imara sana kulipo model zote
Inaweza kibeba watu hadi kumi na mbili
Ina music system yeny tv...
Habari kuna viwanja vingi tunaviuza maeneo ya kigamboni yale yale puna ambapo ni kilometer 37 kutoka ferry ya kigamboni na ni dakika 55 kwa gari mwendo wa kawaida.
Bei ya viwanja kwa square meter...
Ninahitaji mashudu ya alizeti, kiwango cha chini tani 25 na kuendelea.
Manunuzi yatafanyika mahali mzigo ulipo na usafiri ni juu yangu.
Inbox namba ya simu pamoja bei yako kwa kilo. Ubora...
Habari zenu wana JF, Toyota Coaster inauzwa.
Imported from Dubai and first registered in Tanzania in 18/01/2010. HZB Engine with 4163 cc.
Gari inatembea na inatumika kama daladala...
Nauza kiwanja changu kimepemwa na kinahati kipo kigamboni kibada km 2toka barabara kuu ya Feri kwenda kongowe na kwa daladala shukia kituo cha chekechea utaona bango LA nyumba za nssf upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.