Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina eneo la ardhi 7mx10 m Sinza natafuta bwana/bi kilimo bustani atoe ushauri wa kitaalamu mikakati ya kuvuna mazao kwa eneo hilo na kupata walau shilingi 400000 kwa mwezi ,mawasiliano 0654347423
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta cherehan ya mkono kwa yeyote anayeuza anijize bei tafadhat Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Zimebaki dumu 30 za lita20,nauza kwa bei ya kumalizia mzigo 105000 kwa dumu moja la lita 20. 0626446244
0 Reactions
2 Replies
987 Views
thread closed
0 Reactions
65 Replies
18K Views
Godoro la comfy ukbwa 5*6 inch 6 sh 100000, netbox pamoja na net yake 15000. Nipo ubungo msewe Call 0716590309
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Habarini wana jf, leo nimeona niwashirikishe mafunzo mazuri ya Ujasiriamali yatakayokupa maarifa yakuweza kumudu biashara na shuhuli nyengine za kukuingizia kipato. Kumbuka katika mafunzo haya...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kama kuna mtu anajuwa wapi nawezakupata video camera used anijulishe kwa simu 0714 418918 hasa aina ya canon
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Kama kuna mtu anajuwa wapi nawezakupata video camera used anijulishe kwa simu 0714 418918 hasa aina ya canon
0 Reactions
0 Replies
861 Views
mwenye nayo mpya au used battery ya xiaomi Note Lte tutafutane kupitia +255654444064 na picha ya battery ni hii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naulizia wanunuzi wa spessartite garnet toka Mozambique. Km kuna wanunuzi wowote Arusha au Dar basi tujulishane. Karibuni
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Duka: online store Malipo:cash on delivery Zilizopo: IPHONE: 5(16gb)-495,000 5(32gb)-510,000 5s(16gb)-550,000 5s(32gb)-600,000 6(16gb)-760,000 6(64gb)-870,000 6gold(16gb)-790,000...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Noah road tour ya model 1999 yenye detail zifwatazo Engen 3s Cc1998 Katika noah zote hii ndo model imara sana kulipo model zote Inaweza kibeba watu hadi kumi na mbili Ina music system yeny tv...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari kuna viwanja vingi tunaviuza maeneo ya kigamboni yale yale puna ambapo ni kilometer 37 kutoka ferry ya kigamboni na ni dakika 55 kwa gari mwendo wa kawaida. Bei ya viwanja kwa square meter...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Mfugaji anaeuza mayai ya kisasa tuwasiliane 0759292980.mwanza
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bei milioni 6 na nusu kwa mazungumzo njoo PM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninahitaji mashudu ya alizeti, kiwango cha chini tani 25 na kuendelea. Manunuzi yatafanyika mahali mzigo ulipo na usafiri ni juu yangu. Inbox namba ya simu pamoja bei yako kwa kilo. Ubora...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Just imported from japan 29 seats, engine 2h, long chasis, full A/C Call 0757 455070
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Toyota Coaster inauzwa. Imported from Dubai and first registered in Tanzania in 18/01/2010. HZB Engine with 4163 cc. Gari inatembea na inatumika kama daladala...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Nauza kiwanja changu kimepemwa na kinahati kipo kigamboni kibada km 2toka barabara kuu ya Feri kwenda kongowe na kwa daladala shukia kituo cha chekechea utaona bango LA nyumba za nssf upande...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau msaada Gari ya shamba ya mizigo kuanzia tan 3.5
0 Reactions
2 Replies
804 Views
Back
Top Bottom