Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji fridge dogo nina laki moja naweza kupata wapi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Intel Core i5 Ram 8Gb Hdd 500Gb Webcam,Dvd Writer,Wifi Fingerprint Sensor Condition:used Call now/Whatsapp:0672669258
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tembelea link hiyo hapo chini kuona kazi zetu hapa Autoguru Garage 0688767668 or 0715967107 AUTOGURU GARAGE GALLERY | Facebook
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Wakuu nahitaji jiko Dogo la gesi la kampuni ya Oryx Nipo mwanza mwenye nalo aje PM tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari JF, Natafuta kazi yoyote,nipo Mwanza. Am just a fresh graduant.
1 Reactions
3 Replies
736 Views
Mimi nina biashara yangu ya asali mbichi kutoka tabora kwa yeyote mwenye uhitaji anitafute kupitia hii namba 0654553163 napatikana dar es salaam nauza kwa lita na jumla bei rahisi tu wasiliane.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutana na wauzaji pamoja na mafundi mahili wa kuweka tiles, marbles/granites.Ofisi zetu zina patikana Kinyerezi.Njoo upate ushauri pamoja na huduma kutoka Modesign Finishing Company. Mawasiliano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari! Napenda kutoa fursa kwa yeyote ambaye ataweza kusupply mayai tray 150 kwa wiki. Mazingatio ni kama ifuatavyo 1. Mayai yawe safi pia bila kupasuka. 2. Aweze kuyapack kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jipatie earphone za kisasa kwa bei chee Ni shilingi elfu 8 tu Zina mziki mzuri na pia zina mic Na zina waya ngumu sio rahis kukatika [emoji115] [emoji115] [emoji115] Nyingine hizi hapa Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu, kanisa limeanzishwa, waumini wamejichanga na mimi nimekabidhiwa fedha kwa ajili ya kununua Kinanda nauliza bei ya Kinanda 450 na 770 au zaidi tukikubaliana tufanye biashara.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata mageti imara ya chuma toka hapa Autoguru Workshop tunapatikana Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil. 0688767668 au 0715967107
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Habari wana jf eneo lenye ukubwa wa heka 16 linauzwa, lipo sehemu nzuri na linafaa kwa matumizi mbalimbali lipo Pangawe Morogoro Kwa yule atayehitaji tukutane PM
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Single room kodi ya mwaka mabibo near Nit barabarani na rahisi kufika fense, maji na pasafi Panahitaji vijana wasio na familia hakuna kulipa pesa ya dalali. 60,000. PM
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Vyumba na sebule vinapatikana mbezi beach kwa bei nafuu kabisa..... Call 0624179577.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Vans shoes available size 40-45 Price: 22000 Kwa mawasiliano zaidi piga au whatsapp 0652397689
0 Reactions
3 Replies
911 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza.Nina gunia 50(hamsini) za mahindi ya njano aina ya CP 201 naomba kuzwa soko lake nitalipata wapi Kwa Dar es salaam au Tanga
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Nyamadoke Mwanza wilaya ya ilemela Kina ukubwa wa 16×18 Kimepimwa Bei ni milioni 1.6 Kwa maelezo zaidi njoo PM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Unapatkana makumbusho 0716628257
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna kipindi kinafika humwamini kabisa muuzaji wa duka lako maana hesabu anayokuletea haiwiani na hali halisi ya biashara, Unakuta kila unapopitamaeneo ya dukani kwako wateja wamejaa lakini mwisho...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom