Inahitajika simu mpya bajeti laki mbili preferably Tecno, huawei or any other.
Brand nyingine kama used itapatikana poa tu, lakini isiwe imetumika muda mrefu.
Nipm then nitakuconnect na muhitaji.
Niko mwanza ila nataka nihamie nchi jirani nina flat screen ya startimes inch 40 ,ni hd nimeinunua tarehe tatu mwezi wa nane mwaka huu, kwa maana ya kwamba ndo ina mwezi moja na wiki mbili, mbezi...
1.Kiwanja hiki kipo nala kibaoni
2.Eneo liko umbali wa kilomita 13 kutoka katikati ya mji(town centre)
3.Eneo liko umbali usiozidi kilomita 1.2 kutoka barabara kuu iendayo...
Habari za majukumu wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu;
Ninauza shamba lenye square meter 2400 ( width 40 length 60)
Location: Mmbande kwa mbele kidogo kama km 2.5 mpakani na...
Some of our Pre Form ONE students at Excellent Training Center attending computer training session for free . We are aiming to spread ICT skills to our clients.
Bring our child today.
Call us...
Maamuzi Ya Uchungu Ya Kutotaka Mahusiano Tena Yamekuwa Ni Kawaida Kwa Baadhi Ya Vijana Siku Hizi.
Lakini Pia Unywaji Wa Pombe Ni Tabia Ambayo ImekuwepoTangu Enzi Na Enzi.
Aidha Utafiti Unaonyesha...
Karibuni kwa mbao nzuri na bei poa kabisa, pia tuna safirisha ndani na nnje ya nnchi kwa bei nafuu saana. Wasiliana nasi kupitia;
· +255768181757
· Or
· +255754961148...
Habari wadau?!
Kama kichwa kilivyoeleza hapo mayai ya kuku wa kienyeji wanahitajika kwa wingi mkoan Mbeya. Kama una access nayo naomba ni pm tufanye biashara.
Habari wadau, Natafuta simu ya kipato cha chini kama 250k hivi ila lumia. Sasa naziona hizi nokia na microsoft sokoni. Nashindwa kufanya choice kwani zinafanana. huwezi jua ipi ni orijinal au fake...
Shamba lipo eneo la kijiji cha Soga-Kongowe Kibaha karibu na panapojengwa mradi wa reli ya kisasa ya standard gauge. jumla zipo ekari tano na kila ekari moja ni shilingi milion sita (6,000,000/=)...
Starter 60000/=
Shockup @ 40000/=
Site mirror ya kushoto 30000/=
Seat belt 20000/=
Engine sample 40000/=
Vyote ni used
Vinapatikana gongolamboto
Mawasiliano: 0625561339
Kiwanja chenye nyumba kina ukubwa wa sqm 1400 na kimepimwa.Kipo ndani ya halimashauri ya mji wa Makambako barabara kuu kuelekea njombe bei ni kuanzia 17M maelewano yapo. Kwa anayehitaji ani PM...
Habari ya leo? Kama atapatikana mteja wa kuchukua ekari zote 21 kwa (70 maongezi )ni sawa pia . Shamba ina mawe tayari na hati iko katika process. Eneo ni Fukayosi Bagamoyo.
1)Pana nyumba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.