300,000 ninayo nitafute pmKama kichwa kilivyojieleza hapo juu nauza simu ya Tecno Phantom six kwa sh 430000 ina miezi miwili tangu itoke dukani na warranty card yake ipo.Nimepata shida ya haraka ndo mana nimeona niiuze.Ukiwa interested nifate pm.
300,000 ninayo nitafute pmKama kichwa kilivyojieleza hapo juu nauza simu ya Tecno Phantom six kwa sh 430000 ina miezi miwili tangu itoke dukani na warranty card yake ipo.Nimepata shida ya haraka ndo mana nimeona niiuze.Ukiwa interested nifate pm.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bei hiyo napata matofari ya chumba kimoja, na dhamani inapanda sio kushuka, nakushauri warudishie dukani ulipo nunua waambie una dharura wakurudishie pesa zako uwape simu yao , si haujaitumia sana kama unavyo sema