Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba inapangishwa tegeta masaiti,vyumba viwili vya ndani,sebule na dining na servant quarter ya vyumba viwili nje.maji na umeme upo,plus ina faida nyingine ya kukodi hii nyumba kwasababu ina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza machine yangu ya kunyonyolea manyoa ya kuku wa sina zote.inanyonyoa kuku 4 kwa sekunde chache na haitumi umeme mkubwa.iko very effective kwa wajasiri ya Mali katika ufugaji kuku inawafaa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mambo vipi wanajamvi, Naomba kujua lilipo soko la asali kwa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na bei zake nikitaka kuuza jumla jumla. Msaada tafadhali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina CD ya fifa 2016 ps4 Ipo vizuri. 0788622610
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Habari zenu, Samahani naomba kupata mwongozo au msaada wa haraka, Ninataka kufungua/kuhamishia office yangu ya insurance dar es salaam, Napenda kupata yafuatayo plz 1. Naomba kupata mjuzi au...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu.. Kuna nyumba inauzwa ipo gonga la mboto hatua 15 hv kutoka stendi ya magari Kwa mawasiliano zaidi: 0656180377 au 0657522935
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Nahitaji sabun za kuniwa mikono hand wash liquid soap za ujazo wa Lita 5 kwa wingi mwenye nazo tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamii napenda kuwakaribisha katika ununuzi wa mayai ninauza mayai ya kuku wa kisasa kwa bei ya Tshs 6,500 kwa tray tunapeleka sehemu yeyote Dar kuanzia Tray 25 tunauweza wa kusupply tray 200+...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Wakuu, nataraj kuhamia morogoro hivi karibuni, hivyo basi..Nahtaji nyumba yenye vyumba viwili (2), sebure, jiko na choo. Maeneo ya Kiwanja cha ndege, modeko, mazimbu, kihonda, bon'gola, mafiga na...
1 Reactions
1 Replies
986 Views
Habari, Modesign finishing company tunajihusisha na finishing za nyumba ikiwa ni kuweka tiles, marbles, granites, tangastone, gypsum,kupaka rangi, mabomba, pavements n.k, pia tunajenga makaburi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
habari za leo wadau nna mbao naziuza ila pia nabadilishana na gari ndogo ya mirion tatu na mbao. karibuni sana kwa mbao imala na na bei nzuri ya maelewano, bei itategemea kias na saizi ya vipimo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WIMBO: YESU WEWE Na Ev Mhugo Hantish (The sound of worship) Autro Mmmmh! X2 PREACHES "Ndugu yangu, jiulize wewe mwenzangu bila Yesu ungekuwa wapi leo hii. Bila shaka hujui, hata mimi sijui"...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Kampuni ya GEMAB ENTERPRISES inayofuraha kukutaarifu kuwa imekuja na huduma kwa wateja wetu ambayo ni kama ifuatavyo:- ~ Usafi wa Godowns, ~Usafi wa site zilizomalizwa ujenzi, ~Usafi wa nyumba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana nauza nyumba eneo la TABATA karibu na Baa maarufu Da'west park, eneo limepimwa na lina hati ya makazi, eneo liko barabarani kabisa, kuna nyumba kubwa ya vyumba vinne, kunaeneo tupu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimepata majanga inabidi niuze vifuatavyo, vyote vipo Dar: Pazia 3 za kifahari, pamoja na fimbo zake za madirishani ambazo kila moja ina urembo/ringi zake. Vyote kwa pamoja utanipa...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Wale wenye hizi simu na wanahitaji kuzifanya zitumie line za mitandao yote fanya kutuona:- 1. Huawei 2. Alcatel,vodafone,magnus bravo,zte & tecno.. 3. Smartphone za aina mbalimbali za kutoka nje...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Mada ya juu inahusika, nahitaji kijiko kwa ajili ya kuchonga kipande cha njia ya nyumbani kwangu. Urefu wa njia sio zaidi ya mita 300 kwahiyo ni kama kazi ya nusu saa au saa moja hivi. Kama...
0 Reactions
4 Replies
956 Views
Wanajukwaa Kwa wale wapenda kilimo ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari 97.83 kwenye kitongoji cha misufini wilaya ya handeni mkoani tanga, shamba liko kwenye tambarare Safi, halina mazao ya...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Vitu hivi vipo sokoni changamkieni Kuna Sabufa Ndogo 70,000/= Jiko Dogo la Gesi 50,000/= Kitanda 5/6 180,000/= Godoro 160,000/=Bado ni jipya limetumika miez miwili tu Ni PM au kuniinbox nkutumie...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari nataka fremu kwa ajili ha ofis ya insurance, Maeneo nayopendelea Sinza, mwenge na kinondoni
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Back
Top Bottom