Nyumba inapangishwa tegeta masaiti,vyumba viwili vya ndani,sebule na dining na servant quarter ya vyumba viwili nje.maji na umeme upo,plus ina faida nyingine ya kukodi hii nyumba kwasababu ina...
Nauza machine yangu ya kunyonyolea manyoa ya kuku wa sina zote.inanyonyoa kuku 4 kwa sekunde chache na haitumi umeme mkubwa.iko very effective kwa wajasiri ya Mali katika ufugaji kuku inawafaa...
Habari zenu,
Samahani naomba kupata mwongozo au msaada wa haraka,
Ninataka kufungua/kuhamishia office yangu ya insurance dar es salaam,
Napenda kupata yafuatayo plz
1. Naomba kupata mjuzi au...
Wanajamii napenda kuwakaribisha katika ununuzi wa mayai ninauza mayai ya kuku wa kisasa kwa bei ya Tshs 6,500 kwa tray tunapeleka sehemu yeyote Dar kuanzia Tray 25 tunauweza wa kusupply tray 200+...
Wakuu, nataraj kuhamia morogoro hivi karibuni, hivyo basi..Nahtaji nyumba yenye vyumba viwili (2), sebure, jiko na choo.
Maeneo ya Kiwanja cha ndege, modeko, mazimbu, kihonda, bon'gola, mafiga na...
Habari,
Modesign finishing company tunajihusisha na finishing za nyumba ikiwa ni kuweka tiles, marbles, granites, tangastone, gypsum,kupaka rangi, mabomba, pavements n.k, pia tunajenga makaburi...
habari za leo wadau nna mbao naziuza ila pia nabadilishana na gari ndogo ya mirion tatu na mbao.
karibuni sana kwa mbao imala na na bei nzuri ya maelewano, bei itategemea kias na saizi ya vipimo...
WIMBO: YESU WEWE
Na Ev Mhugo Hantish (The sound of worship)
Autro
Mmmmh! X2
PREACHES
"Ndugu yangu, jiulize wewe mwenzangu bila Yesu ungekuwa wapi leo hii. Bila shaka hujui, hata mimi sijui"...
Kampuni ya GEMAB ENTERPRISES inayofuraha kukutaarifu kuwa imekuja na huduma kwa wateja wetu ambayo ni kama ifuatavyo:-
~ Usafi wa Godowns,
~Usafi wa site zilizomalizwa ujenzi,
~Usafi wa nyumba...
Waungwana nauza nyumba eneo la TABATA karibu na Baa maarufu Da'west park, eneo limepimwa na lina hati ya makazi, eneo liko barabarani kabisa, kuna nyumba kubwa ya vyumba vinne, kunaeneo tupu...
Habari wakuu,
Nimepata majanga inabidi niuze vifuatavyo, vyote vipo Dar:
Pazia 3 za kifahari, pamoja na fimbo zake za madirishani ambazo kila moja ina urembo/ringi zake. Vyote kwa pamoja utanipa...
Wale wenye hizi simu na wanahitaji kuzifanya zitumie line za mitandao yote fanya kutuona:-
1. Huawei
2. Alcatel,vodafone,magnus bravo,zte & tecno..
3. Smartphone za aina mbalimbali za kutoka nje...
Mada ya juu inahusika, nahitaji kijiko kwa ajili ya kuchonga kipande cha njia ya nyumbani kwangu. Urefu wa njia sio zaidi ya mita 300 kwahiyo ni kama kazi ya nusu saa au saa moja hivi.
Kama...
Wanajukwaa Kwa wale wapenda kilimo ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari 97.83 kwenye kitongoji cha misufini wilaya ya handeni mkoani tanga, shamba liko kwenye tambarare Safi, halina mazao ya...
Vitu hivi vipo sokoni changamkieni
Kuna Sabufa Ndogo 70,000/=
Jiko Dogo la Gesi 50,000/=
Kitanda 5/6 180,000/=
Godoro 160,000/=Bado ni jipya limetumika miez miwili tu
Ni PM au kuniinbox nkutumie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.