Karibuni kwa mbao nzuri na bei poa kabisa, pia tuna safirisha ndani na nje ya nchi kwa bei nafuu sana. Wasiliana nasi kupitia;
· +255768181757
· Or
· +255754961148...
Za leo Wandugu
Poleni na kukosa hela za bia weekend nzima mkaula wa chuya.Natafuta nyumba yenye vigezo hivi
1.vyumba viwili vya kulala
2.Jiko
3.Sebule
4.Maliwato
5.Iwe karibu na Barabara
6.Isiwe...
Mimi Mwl wa idara ya sekondari natafuta Mwl wa kubadilishana nae kituo cha kazi yeye aje halmashauri ya Ngara na Mimi nihamie halmashauri ya Mji Geita. Kwa mawasaliano. 0782806017/0755420225
Wadau,
Yeyote mwenye kijiko cha kupakilia mchanga kwenye malori, ipo kazi hapa kwetu Misugusugu, Kibaha. Kazi itadumu kwa miezi miwili au zaidi kwa kupakilia eka mbili au zaidi za mchanga, kina...
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari ishirini. Lipo katika mkoa wa pwani, wilaya ya kibiti kata ya bungu. Bei ni 10,000,000. Mazungumzo yapo na unaweza Kulipia kwa awamu mbili. 0716548250
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji vyumba viwili na sebule ila viwe na mtiririko wa kuungana kwa mfano chumba sebule chumba viwe vinapatikana mtwara mjini yoyote mwenye...
Nauza kiwanja cha heka moja kipo Tabata Kinyerezi unashuka Kinyerezi Magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika...
Kiwanja kinauzwa kibaha picha ya ndege upande wa kutoka mjini(sofu)kina ukubwa wa sqmeters 669 yaani 40 x 17 kimepimwa na kina hata miliki na hakidaiwi kodi.
Hakuna dalali, kwa mawasiliano...
nkienda insta naona 55,000 tshs...
nlivyopita kkoo kuna mtu akanambia 18,000 ila hakunionesha (sikuiona)
kwa anaejua bei yake inarange vipi,nsije pigwa
Zipo ekar 40 miti INA umri Wa mwaka mmoja
Bei ya kila ekar ni tsh 300000 pamoja na Ardhi
Shamba lipo kijiji cha MFIRIGA ktk mkoa Wa Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie
0764426929 au 0655726929
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.