Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibuni kwa mbao nzuri na bei poa kabisa, pia tuna safirisha ndani na nje ya nchi kwa bei nafuu sana. Wasiliana nasi kupitia; · +255768181757 · Or · +255754961148...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Za leo Wandugu Poleni na kukosa hela za bia weekend nzima mkaula wa chuya.Natafuta nyumba yenye vigezo hivi 1.vyumba viwili vya kulala 2.Jiko 3.Sebule 4.Maliwato 5.Iwe karibu na Barabara 6.Isiwe...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Mimi Mwl wa idara ya sekondari natafuta Mwl wa kubadilishana nae kituo cha kazi yeye aje halmashauri ya Ngara na Mimi nihamie halmashauri ya Mji Geita. Kwa mawasaliano. 0782806017/0755420225
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Bei ya mayai, trey ni sh 15,000 Wateja wa karibu kama Makonde hadi Mwenge tunawapelekea. Mbarikiwe na Bwana!
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wadau, Yeyote mwenye kijiko cha kupakilia mchanga kwenye malori, ipo kazi hapa kwetu Misugusugu, Kibaha. Kazi itadumu kwa miezi miwili au zaidi kwa kupakilia eka mbili au zaidi za mchanga, kina...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Shamba linauzwa, Ekari 6, Lipo Kisarawe km10 kutoka bandari kavu. Bei 1.5m kwa ekari, , linafaa sana kwa kilimo, maji yapo. Simu: 0784 474 383
0 Reactions
5 Replies
1K Views
34 GB Model No SM-N900 Android version 5.0 Ina Air gesture Pia unapata na PEN yake Bei 480,000/= Tu
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwenye nacho ajibu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari ishirini. Lipo katika mkoa wa pwani, wilaya ya kibiti kata ya bungu. Bei ni 10,000,000. Mazungumzo yapo na unaweza Kulipia kwa awamu mbili. 0716548250
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji vyumba viwili na sebule ila viwe na mtiririko wa kuungana kwa mfano chumba sebule chumba viwe vinapatikana mtwara mjini yoyote mwenye...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Wakuu natafuta Shamba hekari tatu za kulima mihogo. Mwenye nalo karibu Pm
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza kiwanja cha heka moja kipo Tabata Kinyerezi unashuka Kinyerezi Magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Kama una coaster bus viti 29 nakuendelea tuwasiliane bila dalali, sawasawa?
0 Reactions
2 Replies
977 Views
500,000/= Delivery in dar na mikoani tunatuma pia 0717-062242 Tupo k.koo(china plaza)
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Natafuta tairi used 4 namba 195/60 R15,ziwe katka hali nzuri Whatsapp 0652953807
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kibaha picha ya ndege upande wa kutoka mjini(sofu)kina ukubwa wa sqmeters 669 yaani 40 x 17 kimepimwa na kina hata miliki na hakidaiwi kodi. Hakuna dalali, kwa mawasiliano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji pikipiki aina ya fekon au boxer bajeti yangu. Kama unayo na ina hali nzuri na document zote nitafute 0712623938
0 Reactions
1 Replies
849 Views
nkienda insta naona 55,000 tshs... nlivyopita kkoo kuna mtu akanambia 18,000 ila hakunionesha (sikuiona) kwa anaejua bei yake inarange vipi,nsije pigwa
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Zipo ekar 40 miti INA umri Wa mwaka mmoja Bei ya kila ekar ni tsh 300000 pamoja na Ardhi Shamba lipo kijiji cha MFIRIGA ktk mkoa Wa Njombe Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau mbwa puppy gsd anauzwa umri miezi8
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom