Habari za jioni wadau. Kwa Wanaohitaji Mikopo midogo midogo kuanzia (100,000 mpaka 2,000,000) kwa wakazi wa Dar es salaam tu. Riba ni 25%. Karibuni. Mawasiliano +255712 220207.
Post sent using...
Make: toyota
Model:alphard
Year:2004
Cc:2360
Engine: 4cylinder
Condition: mint
Colour:pearl white
Registartion no: DJU
camera: front, back and inside.
Tv: front and back seats.
Milleage: 61,352...
Kwa wapenzi wa movies na series waliopo IRINGA, nicheki kwa 0658714777 au 0692442335.bei ni poa sana. Kitu kama DESIGNATED SURVIVOR season 2, VALOR season 1. na nyinginezo.
Ninahitaji mbegu ya mihogo aina ya kiroba. Shamba langu lipo Kibaha Soga. Mwenye taarifa ya upatikanaji wa mbegu hii naomba anifahamishe au anipatie mawasiliano ya muhusika.
Natanguliza shukrani zangu
Habari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
Wale wanaohitaji dagaa wa Bukoba wasio na mchanga tayari wamewasili,wanapatikana eneo la taliani Kama unaelekea chanika bei yetu ni shilling 7500/= kwa kilo.
Karibuni Sana
Habari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
Habari za umundani Viongozi,naomba kujua kampuni yeyote ambayo inanunua mchaichai(lemonglass) moja kwa moja kutoka shambani Kama ipo au mawakala wapo naomba mawasiliano tafadhari. Hata njia ya...
VITAL 5 PACK
“Mpango wa kuimarisha Afya "
Mara nyingi tumekuwa tukipata changamoto ya magonjwa mbalimbali na hatarishi kutokana na sumu tulizonazo mwilini hii ni Kwasababu ya vyakula...
Habari.naomba kupata maelekezo na uzoefu njisi ya kupata samaki wa bwawa ka mtera toka kwa wavuvi.
1.bei
2.gharama km malazi
3.usafirishaji
4.changamoto
Thanks in advance
Je, unajua hapa tanzania kuna blog zaidi ya 5000 na tovuti yaani websites nyingi
Tanzania kwa sasa inakuwa kwa kasi kwenye masuala ya mtandao kulingana na ukuaji wa uchumi,biashara na viwanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.