Mimi ni kijana ambae nina nia ya ya kua content creator wa habari mbalimbali mitandaoni ila nahitaji kufahamu bei za maiki kwa ajili ya camera ni shilingi ngapi???
Pata shamba lenye hekari 30 linauzwa mkuranga limepimwa lina minazi zaid ya 10 mananasi na mpunga matikiti na mazao na mikorosho zaid ya 20 lipo mkuranga bei ni poa kwa zaid tuwasiliane kwa
simu...
Kampuni ya ck product ya dar_es-salaam tegeta tunapenda kuwafahimisha wale wote wa penzi wa pilipili kaliiii yaani hot chill na pilipili isiyowasha sana yaani mild chill ck tunasupply pilipili...
Habari wanaJF,
Natafuta chumba cha kupanga chenye choo na bafu yake (master bedroom)chenye bei nafuu maeneo ya kuanzia Pasiansi mpaka Nyegezi stand. Kwa yeyote mwenye kujua upatikanaji tafadhali...
Habari zenu?
Mimi nimfugaji wa kuku chotara lengo ilikua ni kwaajili ya biashara ya mayai lakini baada ya kuletewa vifaranga nikakuza na majogoo ambayo kwasasa nimeamua kuyauza. Wapi nnaweza...
Nyumba Inapangishwa Tangi Bovu (Mbezi beach) nyuma ya kanisa la KKT eneo la kwa Mboma.
Ni vyumba viwili vya kulala ,Sebule, Jiko, Choo,dining na kibaraza cha mbele.
Bei 200,000 kwa mwezi...
Msingi juu ya kiwanja unauzwa kiwanja kina Hati sq m645 karibu na Mt Evarist International School ni sehemu maridhawa waweza jenga gorofa moja piga 0654347423 haraka
Wakuu , baada ya jana kuzunguka sana Maeneo ya Mawasiliano na Msewe na madalali wa kule nimekosaaa room.
Kama kuna yoyote ambae anaishi maeneo hayo na yuko karibu kuachia room naomba tuchekiane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.