Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nauza asali asilia kutoka Tabora kwa bei nzuri nyuki wadogo lita 30,000 nyuki wakubwa lita 10,000 napatikana dar es salaam maeneo ya changanyikeni kwa...
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu...
Wakuu nahitaji freezer iwe mpya au used lakini isiwe na tatizo lolote lile. Bajeti yangu ni 300000 lakini iwe mwanza au musoma. Kama kuna mwenye nayo anicheki kwa 0758652954
Habari ya leo Wadau?
Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa...
Nyumba kwa ajili ya Makazi ya familia ipo sokoni,
inapatikana maeneno ya Chanika buyuni.
Kiwanja kimepimwa Na kina ukubwa Wa Sqm 660 document zote zipo
Ina jumla ya vyumba vitatu, viwili Ni self...
Habari wanajukwaaa.
Sina maneno mengi sana nahitaji simu nzuri yenye uwezo wa 4G iwe used lakin isiwe zaidi ya miezi sita....nipo dar jiji la bashite...
Kama unayo naomba unitumie picha na uje...
Redeem Insurance Agency ni kampuni iliyosajiliwa kutoa huduma mbalimabali za Bima.
Pata huduma zetu mbalimbali za bima na ushauri bure kutoka kwa wataalamu waliobobea kwenye masuala ya bima...
Ni mafundi na wataalam wa sofa aina zote za chuma na za mbao, vitanda vya mbao, chuma na sofa, meza za mbao na sofa, makabati, pia tunarepair sofa aina zote
0719532007
Wakuu habari! Nahitaji kuwa professional photographer, je ni wapi naweza kupata wataalam ninapoweza kujifunza kwa hapa dar es salaam na gharama za kufundishwa zikoje.Natanguliza shukrani kwa...
Mambo vipi wadau. Naitwa Snitch2020
Naomba mniambie ninaweza kupata wapi Mashine ya kutengeneza Juice ya muwa mpya kwa bei rahisi. Mashine iwe inatumia Umeme.
kama kuna mtu anafahamu...
Pata miche bora kabisa ya miembe kwa dar es salaam,utafurahia maembe haya kwani yanazaa kwa kiwango cha juu kabisa,epuka kununua miche kwa wauzaji wa mtaani,bei ya mche mmoja ni 10,000 za...
Color Silver CC 2360 AB ABS AW RS FOG NV 2WD 100s km
Total Cost + Ushuru Tsh 20.5Mil
Agiza nami kwa:
Call/whatsapp/skype: +255715471659
e: hamoudautocom@gmail.com
Office: Quality Centre, Nyerere...
Natafuta wateja wa viatu jumla na rejareja head office kariakoo mtaa wa nyamwezi na wakala yupo tunduma, mbeya lakini ukitaka popote tunakuletea bei nafuu kabisa
Kinasoru East Africa Tanzania Ltd inatoa fursa ya mafunzo ya uendeshaji wa mradi wa ufugaji wa kuku, utotoreshaji wa Vifaranga, Utengenezaji na Uandaaji wa vyakula mbalimbali vya kuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.