rodgers123
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 180
- 152
Habari ndugu,
Ninatafuta kiwanja cha bei nafuu maeneo ya Tegeta, Boko , Salasala , mbweni au Makongo juu.
Budget yangu ni chini ya Milioni 12. Mwenye nacho naomba ani PM.
1)Kiwanja kiwe kimepimwa na kiko kwa ajili ya makazi.
2)Kiwanja kiwe kwenye eneo zuri na tambalale.
Natanguliza shukrani.
Ninatafuta kiwanja cha bei nafuu maeneo ya Tegeta, Boko , Salasala , mbweni au Makongo juu.
Budget yangu ni chini ya Milioni 12. Mwenye nacho naomba ani PM.
1)Kiwanja kiwe kimepimwa na kiko kwa ajili ya makazi.
2)Kiwanja kiwe kwenye eneo zuri na tambalale.
Natanguliza shukrani.