Nataka gari aina ya ist

Nataka gari aina ya ist

kinjumbi one

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
1,696
Reaction score
2,159
Nataka gari aina ya ist, iwe katika hali mzuri, iwe imelipiwa ushuru vizuri isiwe ya ujanja ujanja, iwe ya 2008 kuja juu, iwe na mileage, si zaidi ya 150,000. Budget 6,500,00
 
Nataka gari aina ya ist, iwe katika hali mzuri, iwe imelipiwa ushuru vizuri isiwe ya ujanja ujanja, iwe ya 2008 kuja juu, iwe na mileage, si zaidi ya 150,000. Budget 6,500,00
Utapata ya Kwa fundi kwa bei hiyo!
 
kama uko seriou njoo inbox nikuuzie yangu ila si chini ya 10m
 
Nataka gari aina ya ist, iwe katika hali mzuri, iwe imelipiwa ushuru vizuri isiwe ya ujanja ujanja, iwe ya 2008 kuja juu, iwe na mileage, si zaidi ya 150,000. Budget 6,500,00
Duu hizo condition zako nimezipenda sana, nakutakia kila la kheri nilijua naweza kuuza hapa mimi ninayo ya 2005 niliingiza Mwaka 2016 March ilinighalimu M11.6 kwa ajiri ya shughuli zangu flani ambazo zimekwisha, iliingia ikiwa na KM74,356 na sasa ina KM98,234 na sioni haja ya kuendelea kua nayo maana ina paki tu mda mrefu tokea July 2017 ninaiuza kwa M7.5 pungufu sipokei
 
Duu hizo condition zako nimezipenda sana, nakutakia kila la kheri nilijua naweza kuuza hapa mimi ninayo ya 2005 niliingiza Mwaka 2016 March ilinighalimu M11.6 kwa ajiri ya shughuli zangu flani ambazo zimekwisha, iliingia ikiwa na KM74,356 na sasa ina KM98,234 na sioni haja ya kuendelea kua nayo maana ina paki tu mda mrefu tokea July 2017 ninaiuza kwa M7.5 pungufu sipokei
Mkuu unaweza kutuma picha ya hiyo gari yako tukafanya biashara
 
Duu hizo condition zako nimezipenda sana, nakutakia kila la kheri nilijua naweza kuuza hapa mimi ninayo ya 2005 niliingiza Mwaka 2016 March ilinighalimu M11.6 kwa ajiri ya shughuli zangu flani ambazo zimekwisha, iliingia ikiwa na KM74,356 na sasa ina KM98,234 na sioni haja ya kuendelea kua nayo maana ina paki tu mda mrefu tokea July 2017 ninaiuza kwa M7.5 pungufu sipokei
acha uongo
 
Hupati ng'ooo labda nisaan march au ist ilochoka sana
Hacha kukatisha wenzako tamaa saizi hali ni ngumu watu hata hela ya mafuta hawana jf sio mahali pazuri kufanya biashara maana kuna watu flani wajuaji wa kila kitu jomba nenda fb kuna magroup ya kuuza magari au kupatana.com au nataka gari.com
 
jamen acheni kudawanganya watu,,,IST ni gari nzuri ya malala hoi inayoendana na uchumi wa sasa hivi.hata wenye magari makubwa wamevamia ist.bei yake haiwezi kamwe kuwa chini...usidanganyike ukauziwa gari bovu kisa bei ukaingia garama mara mbili ulonunulia kuitengeneza....fuata utaratibu tu usiwe na haraka utaliwa
 
UNACHOSEMA NI KWELI KUNA JAMAA WANAJIFANYA WAJUAJI SANA JF. KUMBE NI MAKINIKIA TU.
Hacha kukatisha wenzako tamaa saizi hali ni ngumu watu hata hela ya mafuta hawana jf sio mahali pazuri kufanya biashara maana kuna watu flani wajuaji wa kila kitu jomba nenda fb kuna magroup ya kuuza magari au kupatana.com au nataka gari.com
 
MIMI NIMENUNUA GARI SHARIJAA IST 4000000/ NIMELIPIA 500000/ USHURU UNALIPIA TRA ZANZIBAR
 
Duu hizo condition zako nimezipenda sana, nakutakia kila la kheri nilijua naweza kuuza hapa mimi ninayo ya 2005 niliingiza Mwaka 2016 March ilinighalimu M11.6 kwa ajiri ya shughuli zangu flani ambazo zimekwisha, iliingia ikiwa na KM74,356 na sasa ina KM98,234 na sioni haja ya kuendelea kua nayo maana ina paki tu mda mrefu tokea July 2017 ninaiuza kwa M7.5 pungufu sipokei
Mkuu bado ipo hyo gar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom