Nauza kiwanja kipo Tegeta Boko, DAWASCO, upande wa pili wa bahari kwa juu.
Kimepimwa na serikali, imebaki kulipia na kupata hati miliki.
Unaweza kwenda kujiridhisha kuwa kiwanja kipo safe...
Kiwanja 20 mita kwa 21 mita kimepimwa, Tegeta dawasco book.
Bei million 14 .
Unaweza kulipa kwa awamu ...kwa kutanguliza cash million 8 au 9..
Hati miliki IPO njiani inatoka kwa jina LA mnunuzi...
Nissan Patrol for sale for an expatriate who left.
-Body type- Station wagon
-Year of manufacture 1,999
-Fuel used - Diesel
-Colour -Grey Beige
-All services were done regularly
- Price -...
Jamani wana jf,nataka nianzishe biashara,flan hivi,ila nmekwama katika kupata ni wapi ambapo wataweza kunitengenezea package kama zile za diamond karanga ,so msaada jamani,kwa watu wenye ujuzi wa...
Kwa mtu yeyote yule anahitaji kudeal na mobile financial services kupitia line za M-pesa tafadhali wasiliana nami kupitia no. 0768 399 069 nina line za mpesa naziuza kwa bei nafuu.
Nyumba ipo barabarani kabisa (Maguruwe road) kitu ambacho kinaifanya iwe nzuri kwa biashara.
Unaweza ukatengeneza frame za kukodisha au kutengeneza biashara ya parking ya magari au biashara...
Ipo katika hali nzuri ,ina mwaka mmoja toka inunuliwe haina tatzo lolote ,ninauza sababu nina tatzo na hela kidogo ,simu ipo dodoma kwa mawasiliano tuma sms kwenye 0692477837
Nina project ya nguruwe kwenye plot ya 1600 Sqm.nguruwe wapo 34.asilimia kubwa wengi ni majike.wawili tayari wana mimba na wawili tumewapandisha.madume wako Kama 8.project ipo bagamoyo...
Ndugu wana jf, ninaomba kuwauliza wale wa taalum au wanafahamu ni panel gani iliyo bora kwa matumizi ya nyumbani? ikiwemo kutumia kwenye jokofu, kiyoyozi nk.
naomba msaada wenu nitavipata wapi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.