Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei ya mahindi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
38 Replies
13K Views
Wakuu Haba, sina mengi ya kuandika mimi nahitaji mtu mwenye laini ya Tigo-pesa aniuzie... Serious issue, asante
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Nauza kiwanja kipo Tegeta Boko, DAWASCO, upande wa pili wa bahari kwa juu. Kimepimwa na serikali, imebaki kulipia na kupata hati miliki. Unaweza kwenda kujiridhisha kuwa kiwanja kipo safe...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kiwanja 20 mita kwa 21 mita kimepimwa, Tegeta dawasco book. Bei million 14 . Unaweza kulipa kwa awamu ...kwa kutanguliza cash million 8 au 9.. Hati miliki IPO njiani inatoka kwa jina LA mnunuzi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi nani keshafika kwenye club ya The Foxy Lady Lounge ? nimepewa sifa zake na nimeona videos kwenye youtube
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina jamaa zangu wana registered microfinance nitakuonganisha nao upate mkopo.Kama mfanyakazi au Mfanyabiashara karibu. 0714-796778
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Price: TZS 16,500,000. 2013 Registration • Good condition • all duties paid • 103,925 km done • Station Wagon • 2AZ Engine Code • 2,360cc • Petrol • Auto transmission • 4 Wheel Drive • Right...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nissan Patrol for sale for an expatriate who left. -Body type- Station wagon -Year of manufacture 1,999 -Fuel used - Diesel -Colour -Grey Beige -All services were done regularly - Price -...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani wana jf,nataka nianzishe biashara,flan hivi,ila nmekwama katika kupata ni wapi ambapo wataweza kunitengenezea package kama zile za diamond karanga ,so msaada jamani,kwa watu wenye ujuzi wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
>wilaya ya ilemela,kata kitangiri,mtaa wa Jiwe Kuu >Hati IPO >Ni master room na Dining >Bei 9m >Bei ni maelewano >nicheck PM
1 Reactions
106 Replies
14K Views
Kwa mtu yeyote yule anahitaji kudeal na mobile financial services kupitia line za M-pesa tafadhali wasiliana nami kupitia no. 0768 399 069 nina line za mpesa naziuza kwa bei nafuu.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyumba ipo barabarani kabisa (Maguruwe road) kitu ambacho kinaifanya iwe nzuri kwa biashara. Unaweza ukatengeneza frame za kukodisha au kutengeneza biashara ya parking ya magari au biashara...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nipo Zanzibar,,nina shida na line za wakala(Tigo&Voda),nichek kwa 0627285492 au danmachete666@gmail.com.Nashukuru.
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Heshima kwenu wadau nauza line yangu ya mpesa na tigi pesa,kwa yeyote anayehitaji tafadhali naomba tuwasiliane kwa namba 0653875037. Shukrani
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri ,ina mwaka mmoja toka inunuliwe haina tatzo lolote ,ninauza sababu nina tatzo na hela kidogo ,simu ipo dodoma kwa mawasiliano tuma sms kwenye 0692477837
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nina project ya nguruwe kwenye plot ya 1600 Sqm.nguruwe wapo 34.asilimia kubwa wengi ni majike.wawili tayari wana mimba na wawili tumewapandisha.madume wako Kama 8.project ipo bagamoyo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wana jf, ninaomba kuwauliza wale wa taalum au wanafahamu ni panel gani iliyo bora kwa matumizi ya nyumbani? ikiwemo kutumia kwenye jokofu, kiyoyozi nk. naomba msaada wenu nitavipata wapi na...
0 Reactions
1 Replies
741 Views
4bedroom Apartment 3 Bathrooms and Toilets Sitting room Kitchen Store Full Ac Location-ilala Bungoni Price-550usd
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom