Habari ndugu,
Ninatafuta kiwanja cha bei nafuu maeneo ya Tegeta, Boko , Salasala , mbweni au Makongo juu.
Budget yangu ni chini ya Milioni 12. Mwenye nacho naomba ani PM.
1)Kiwanja kiwe kimepimwa...
Shamba linauzwa Morogoro habari njema kwa wakazi wa Moro au hata Dar shamba kubwa sana linauzwa Morogoro.
Limelimiwa mpunga mpaka sasa ni hekari 12 na bei yake ni rahisi M7.
Morogoro Lupilo...
Kwa wanao hitaji shamba maeneo ya Morogoro bado lipo na lipo karibu na chanzo cha maji cha mto Ngerengere napatikana kwa namba(0744990530 au 0676051093)
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu wanajamii.
Naomba kufahamishwa ni wapi kwa Dar kuna vyumba vya kupanga ambavyo kodi ni 20elfu kwa mwezi,malipo ya miezi mitatu tu na unapanda gari moja hadi Ubungo ila isiwe...
Nauza pilipili nilizopanda shambani Bagamoyo kwa anayehitaji anitafute kwenye namba zifuatazo, kwa mawasiliano zaidi.
0766767539_voda
0677459677_tigo
Tafadhali mfahamishe na mwezio
Sent using...
Nauza samsung LED TV ya 23 inch, series 4. Imetumika miaka 3, haina tatizo lolote. Sababu ya kuuza ni kwamba nimenunua kubwa zaidi. Bei tsh 270,000 inapoa kidogo. Aliye interested nicheck pm au...
Wadau nina mahitaji na power tiller lakini sina uzoefu nazo kuhusu ubora, bei na zinapopatikana. Hata kama ni used lakini inafanya kazi vizuri nitafurahi kupata taarifa.
Asanteni
Kwa wale wanaopenda kufanya biashara/Huduma za kifedha kupitia simu,basi hii ni nafasi kwao ya kujiongezea kipato.Laini za uwakala,M PESA,Tigo Pesa na Airtel Money zinauzwa.Zipo Arusha mjini.Kwa...
kichwa cha habari chahusika,mbwa wenye umri wa week tano aina ya German Shephard wanauzwa,bei yake ni Tshs.200,000 kila mmoja,kwa wale mnaoishi na familia mnajua uchungu wa kuvamiwa na...
Habarini,..Nahitaji mwalimu wa kunifundisha kupiga chombo chochote cha muziki kati ya hivi.,.Keyboard.,.Guitar or Drums.,.Niko Dar,..
Or kama kuna mtu yoyote ana studio and angependa kushare ujuzi...
Hello JF,
Kama heading inavyojieleza natoa huduma za kutengeneza blogu na website kwa bei nafuu kabisa ya kuanzia elfu 2O/=
nichek WhatsApp O652 92O 596
Wasiliana na Mimi 0763347985/0673000103
Kwa hekar moja utahitaji roll tano na viunganishio vingine ambavyo ukijumuisha gharama zote , kwa hekari moja huweza kufikia 2.5mil
Karibuni sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.