Dodo18
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 315
- 93
Habari za jioni ndugu zangu, nauza kiwanja changu chenye ukubwa was Sqm 890 kipo Babati maeneo ya Sinai. Bei nimeshusha 1.2 kutoka 1.8 Nauza kwa sababu nimekwama na nahitaji pesa. Viwanja vina hati miliki. Waliojitokeza wawili lakini bei yao ni ndogo sana.