Nahitaji incubator

Nahitaji incubator

wasaa9

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2017
Posts
566
Reaction score
209
Mwenye uzoefu na hili tafadhal naomba msaada , Npo kanda ya ziwa ninaproject kubwa ya kuzalishaji vifarangu vya kuku wa kienyeji na kuwakuza kwa kutumia incubator machine, kwahiyo nahitaj kujua bei na mahali znpopatkana mashine ya kutotoreshea vifaranga yenye uwezo wa kubeba mayai kuanzia mia moja(100)

Hivyo , muhusika au anayefahamu chochote kuhusu taarifa hii ata ushuri tu anisaidie nahitaji kuwa mjasiliamali mkubwa coz nlikuwa na project ya nguruwe tayar nmefuga na nmeanza na majike watatu wenye mimba na sasa wanendelea vzur.
 
Mwenye uzoefu na hili tafadhal naomba msaada , Npo kanda ya ziwa ninaproject kubwa ya kuzalishaji vifarangu vya kuku wa kienyeji na kuwakuza kwa kutumia incubator machine, kwahiyo nahitaj kujua bei na mahali znpopatkana mashine ya kutotoreshea vifaranga yenye uwezo wa kubeba mayai kuanzia mia moja(100)

Hivyo , muhusika au anayefahamu chochote kuhusu taarifa hii ata ushuri tu anisaidie nahitaji kuwa mjasiliamali mkubwa coz nlikuwa na project ya nguruwe tayar nmefuga na nmeanza na majike watatu wenye mimba na sasa wanendelea vzur.
Natengeneza incubators na nina nina uzoefu wa kutosha kuhusu uzalishaji wa vifaranga na poultry projects kwa ujumla. Naishi Mwanza

Calls/SMS/Whatsapp: +255767659145
Calls/SMS: +255787659145
website: www.kukuchotara.com
 
Back
Top Bottom