Anatafutwa receptionist/watress mwenye uzoefu hotel ya Lahe Mwanza. Mshahara mzuri atapata na marupurupu mengine.mawasiliano 0655290084 www.lahehotels.com or lahehotels@gmail.com
Kuna nyumba mbili zinapangishwa maeneo ya savei dk 5 toka mliman city. Nyumba moja ina vyumba viwili na sebule choo na sehemu ya kupikia. Kodi 250,000/- kwa mwezi na nyingne ni chumba na sebule...
Kichwa cha habari kinajitosheleza.
Nahamishia vitu vyangu vya ndani (vyombo) huko makao makuu Dodoma ili kufuata fursa mpya.
Kwa yeyote anayefahamu au kujua jinsi ya kupata usafiri wa Lori kwa...
Kwa wakazi wa dar maeneo ya chang'ombe,keko,kilwa road na uwanja wa taifa na maeneo ya karibu na ukumbi wa sigara
Karibuni kuosha magari kwa bei ya promotion kwa mashine ndani nje na injini
Gari...
Wadau
Natafuta manufacturer / supplier wa wooden poles zile zinazotumiwaga na TANESCO kwa ajili ya project moja kubwa .Kama kuna mtu anahusika au anajua lolote naomba tuwasiliane ASAP kule PM
Wakuu wapi nitapata gold testing machine ya bei ndogo. Je hiyo mashine ipo na ni bei gani. Namaanisha portable ambayo naweza kuiweka hata kwenye begi. Nimejaribu kuangalia ALIBABA, naona kama zipo...
Wakuu habari, Toyota Ist cc not more than 1400 inahitajika. Iwe used ambayo IPO ktk hali nzuri. Ikiwa Dodoma/Moro/Dar itapendeza zaidi.
Nasubiri majibu!!!
Usijali Sana Kama unaitaji Spika na Upo Arusha nicheki kwa whatsapp upate picha na kufanya biashara 0787245182 kwa Bei ya punguzo ya sh 35000 toka 60000 location Usariver
Hello wanaJF,
Mimi kijana mpambanaji wa kitanzania, natafuta mentor wa kilimo cha matango.
Tafadhali Kama una hints zozote kuhusu kilimo hiki karibu tafadhali.
WELCOME TO MEADOWS PROMOTIONS.
we offer the following Activities proffessionaly:-
1.Email marketing
Whatsapp marketing
Social media marketing
-We have 170,000 subscribers who will see your...
Je una tatizo la wadudu warukao na watambaao?
Je mbu wanakusumbua sana?
Je una mchwa ambao wanasumbua?
Je mende wamekuzidia ,jikoni na vyooni?
Je una tatizo la panya?
Je eneo lako la kazi au...
WELCOME TO MEADOWS PROMOTIONS.
we offer the following Activities proffessionaly:-
1.Email marketing
Whatsapp marketing
Social media marketing
-We have 170,000 subscribers who will see your...
Simu imetumika one week tu haina michubuko.
Storage 8 gb, ram 1 gb
Inauzwa 100,000
Kama una nokia asha 210 au nokia X2 ile ya batani au nokia E72 utaongeza 50,000 nakuachia.
Napatikana pugu dsm...
Habari Wadau,
Natafuta Godown Dogo, Nataka kuweka mashine ya kusaga plastiki. Bajeti yangu ni Tsh 500,000 Kwa mwezi, Naweza lipa miezi sita, Maeneo ya Tegeta, Mwenge, Mbezi Beach, Tangi bovu...
Habari wana jukwaa pendwa kabisa Afrika Mashariki nina tatizo moja nahitaji msaada wenu kuna kaeneo kangu nimekakodisha sasa nahitaji kujenga ofisi.. Lakini ofisi hiyo itajengwa kwa mbao na siling...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.