Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Eneo SQM 575 linauzwa Kata ya Miburani, mtaa wa keko machungwa (lina nyumba), panafaa kwa makazi gari inafika mpaka mlangoni, document yake ipo bei ni mil 75 maongezi yapo Kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
T-shirt na vest mpya za AFRICAN LOYALTY zinapatikana kwa bei ilioo poa na kwa ubora mkubwa. Napatikana Sinza,Dar-Es-Salaam T-shirt nauza 18,000 na Vest jipatie kwa 13,000 Tunafikisha Ulipo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mwenye anayo ABS Motor control ya gari aina ya Nadia anipm tafadhali
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Habari zenu wadau Nahitaji OVEN Machine Kubwa ya Deck 1 hadi 3 (Gas or umeme) ya kukodisha au used inayouzwa, Mwenye nayo au info kuhusiana na hili tufahamishane wadau.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji alizeti tani 10 , Mwenye nayo anijulishe na bei kwa kilo Nipo Arusha.
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Habari kwa mahitaji ya agents kwa ajili ya kazi/biashara yako waweza kutuona BALUCHISTAN CLEARING AND FOWARDING CO LTD tupo dara es salaam,ni kampuni ambayo imesajiliwa na inatambulika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninauza Pikipiki Mali yangu aina ya fekon 125 rangi nyekundu haijawahi kufunguliwa injini wala kubadilishwa chchote bei NI 800,000/= za kitanzania maongez hapo Simu :0755156747
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nahitaji kiwanja maeneo ya kuanzia kiloleli , maduka tisa na nyasaka bei maximum 7 million. Thanx.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
External HDD GB 500 Inauzwa tSH.90,000/= |na Muvi zaidi ya 450 Ina Nyimbo Mchanganyiko zaidi ya 15000 Piga simu sasa au tuma ujumbe 0655-945-419
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Samaki waliobanikwa Bei kuanzia Tsh. 3000/= hadi 8000/= kulingana na ukubwa wa samaki Kwa mawasiliano zaidi 0622937241
1 Reactions
6 Replies
2K Views
R
0 Reactions
3 Replies
744 Views
Mazda Atenza - for sale 9.5M (Tsh) Registration Year/Month - 2004/08 Odometer - Before 90,667km after check photos attached. Displacement - 2.3CC Serious buyer 0684811976
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Camera 13mp Internal. 16gb Ram 2gb Niko ubungo dsm 0719397568 Bei 350000 fixed
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Nina mzigo wa pweza nina leta dar es salaam toka msumbuji Kilo ninauza 9000tsh per kg +255676019019 WhatsApp +255764845585 Asante sana
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu. Naomba kujua wapi nitapata mashine ya kupukuchua mahindi (kutenganisha mahindi na magunzi yake). Niko nje ya Dar, kama unayo mashine ya namna hiyo naomba unipe...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari za muda huu Wajumbe, natumai ni wazima nyote. Naomba kuulizia bei za mashamba ya mikorosho na jinsi ya kuipata kwa manunuzi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wana jamii forum nauza machine kubwa ya kupukuchua mahindi. Ina uwezo wa kupiga gunia 250 kwa siku na inatumia engine ya diesel Horse power 20 ambayo nayo ipo hapohapo katika machine. Bei ni...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Mchora ramani za nyumba mwenye muhuri anahitajika ili kuweza kupata kibali cha ujenzi. Natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom