Eneo SQM 575 linauzwa Kata ya Miburani, mtaa wa keko machungwa (lina nyumba), panafaa kwa makazi gari inafika mpaka mlangoni, document yake ipo bei ni mil 75 maongezi yapo
Kwa maelezo zaidi...
T-shirt na vest mpya za AFRICAN LOYALTY zinapatikana kwa bei ilioo poa na kwa ubora mkubwa.
Napatikana Sinza,Dar-Es-Salaam
T-shirt nauza 18,000 na Vest jipatie kwa 13,000
Tunafikisha Ulipo...
Habari zenu wadau
Nahitaji OVEN Machine Kubwa ya Deck 1 hadi 3 (Gas or umeme) ya kukodisha au used inayouzwa, Mwenye nayo au info kuhusiana na hili tufahamishane wadau.
Habari
kwa mahitaji ya agents kwa ajili ya kazi/biashara yako waweza kutuona BALUCHISTAN CLEARING AND FOWARDING CO LTD tupo dara es salaam,ni kampuni ambayo imesajiliwa na inatambulika...
Ninauza Pikipiki Mali yangu aina ya fekon 125 rangi nyekundu haijawahi kufunguliwa injini wala kubadilishwa chchote bei NI 800,000/= za kitanzania maongez hapo
Simu :0755156747
Wakuu habari za majukumu.
Naomba kujua wapi nitapata mashine ya kupukuchua mahindi (kutenganisha mahindi na magunzi yake).
Niko nje ya Dar, kama unayo mashine ya namna hiyo naomba unipe...
Ndugu wana jamii forum nauza machine kubwa ya kupukuchua mahindi. Ina uwezo wa kupiga gunia 250 kwa siku na inatumia engine ya diesel Horse power 20 ambayo nayo ipo hapohapo katika machine. Bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.