Mashamba! Mashamba! Mashamba yapo Bagamoyo, Msata na Chalinze.
Bei ni kuanzia tsh 450,000 kwa ekari.
Tunauza kuanzia ekari 1.
Nb: ukihitaji hati ya shamba lako utashughulikiwa pia.
Wasiliana...
Nauza kitabu hichi, kitakacho kusaidia na kukupa mbinu za kujisambaza kimatangazo na kufikia watu wengi zaidi ndani ya muda mfupi. Pia utakuwa na haki ya kukiuza, baada ya kukinunua.
Bei: 5,000...
Mchanganyiko wa matunda, tangawizi, vitunguu swaumu, vinegar....inapatikana ktk ujazo tofauti. Watu wa bar, restaurant, BabaQ n.k naweza kukuwekea ktk ujazo kulingana na maitaji yako...
WAHI OFA YAKO KABLA HAIJAISHA
Habari wana kikundi, sisi tunaitwa Tawa Water Proffesional ni wachimbaji wa visima vya maji iwe kwa ajili ya umwagiliaji mashambani au kwa matumizi ya kawaida...
Habari wakuu!
Husika na kichwa cha habari hapo juu,natafuta Mtu mwenye projector,tuelewane anikodishie kuna kazi nataka kuifanyia lakini iwe bei nzuri,
Kwa mawasiliano zaidi...
Salam wakuu,
Naomba tuambiane nani actor/actress wako bora hasahasa kutoka Hollywood.
Mi naanza na hawa wangu;
1.Danzel Washington
2.Mark Wahlberg
3.Leornado Di Caprio
Tiririka wako
Ndugu zangu nafanya Kazi katika kampuni ya AKM Glitters Company LTD inashugulika na utengenezaji was chakula cha kuku na utotoleshji wa kuku wa chotara. Chakula chetu kinaitwa Feedpro na being...
Wadau naulizia borax yakusafishia dhahabu hapa DAR ES SALAAM INAPATIKANA WAPI KWA BEI YA JUMLA,,,KAMA KUNA MTU ANAFAHAMU ANIFAHAMISHE KUPITIA 0674399633
MIMI ELLY
NAOMBENI rafiki zangu ambao mpo Dar es salaam mshiriki katika event iliyoandaliwa na kampuni yetu ya TOP TRUST ENTERTAINMENT.
event yenyewe inaitwa PHOTOGENIC BEACH PARTY Ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.