Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poa mkuu ngoja leo nipambane na hali namba yako ninayo nitakupa mrejesho!Nitakupa punguzo mkuu twende kwako nipe 30 badala ya 40...
Akikujibu nitag mkuuJe malipo ni kiasi gani na je una leseni ya daraja la ngapi? je una uzoefu katika uendeshaji gari umbali mrefu na je tukiondoka huo muda tunafika Mbeya lini na saa ngapi?
sio kuwa sikuamini ila kama unasafirisha mtu inabidi utoe maelezo ya kutosha maana kuendesha gari kuna vigezo niliwahi kusafiri na IT kwenda Mbeya dereva alikuwa anakunywa viroba njiani. Kwenye mabasi wana vigezo vya kupata madereva ndio maana tunawaamini. Pia huna leseni ya usafirishaji watu so ukihakikisha usalama na vigezo ingependeza zaidiNauli 40,000 tshs, kama huniamini you reserve ur options
Abarikiwe??? Ni mwendo wa shekeli jombaa sio bure.Ubarikiwe sana we jamaa.
Ni mzoefu na ni fundi wa magari huu mwaka wa 12...Tembelea nyuzi zangu za nyuma utaona ushauri na ukitaka kunitembelea karibu gereji kwangu hapa mwenge...kila kitu nafanya nuruni....sio kuwa sikuamini ila kama unasafirisha mtu inabidi utoe maelezo ya kutosha maana kuendesha gari kuna vigezo niliwahi kusafiri na IT kwenda Mbeya dereva alikuwa anakunywa viroba njiani. Kwenye mabasi wana vigezo vya kupata madereva ndio maana tunawaamini. Pia huna leseni ya usafirishaji watu so ukihakikisha usalama na vigezo ingependeza zaidi