Natafuta pikipiki

Natafuta pikipiki

Kasungura

Member
Joined
Mar 12, 2007
Posts
72
Reaction score
15
Jamani wana jamvi naomba kama kuna mtu anajua mahali ambapo naweza kupata pikipiki kwa bei isiyozidi laki nane ( 800,000) hapo dar. Sanlag cc125 hadi cc150, Cargo type.Hapo Dar
taarifa zenu zitanisaidia sana.
Hata Zanzibar siyo mbaya ilimradi nikijumlisha gharama zote za kuileta bei isiwe kubwa.
Taarifa zenu ni muhimu sana kwangu wakuu.
 
Dah Mkuu mi nakushauri endelea kuzichanga ununue kitu kipya na cha uhakika Pikipiki ya India nunua Bajaj ukitaka Mchina ya laki 8 jamaa angu anayo lakini imesha choka wewe utatumia miezi kama 3 hivi itakuwa imekufia sasa utaamua wewe kama unataka ukae nayo mpaka ife ili watoto wako wakikua wajua baba nae alikuwa na pikipiki ni wewe tu mkuu.
 
Pikipiki inahitajika boxer ,isizidi laki 8 used iwe na kiwango kizuri
 
Back
Top Bottom