Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza kitanda cha chuma 4*6 kwa bei ya 250,000 tu, kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo Nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jipatie kiwanja chako sasa kwa Mkopo wa miezi 72. Viwanja vyetu vimepimwa vina hati miliki kutoka wizarani. Malipo ya awali ni 25% kisha iliyobaki utailipa taratibu kila mwezi kwa miezi 72...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Motherboard ya lenovo ideapad 110-151BR model 80T7 2gb ram bei gan??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A
1 Reactions
4 Replies
924 Views
Habari wanajukwaa, Kwa mwenye mfuniko wa simu tecno j5 unatafutwa kwa hali na mali kama unao tafadhali tufanye biashara.
0 Reactions
5 Replies
744 Views
Nyumba self contained yenye vyumba vinne vikubwa ipo kwenye kitalu namba 539,Block F, Ubungo maziwa karibu na Mabibo inapangishwa kwa Tsh laki nne (mazungumzo yapo) Nyumba iko karibu na Kituo...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Habar wadau. Natafuta viti vya plastic vya aina hii used angalau viwili mpaka vitatu. Tuwasiliane namba hii 0712220207 au 0767173885, ahsanteni.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini wadau. Nahitaji kushonesha suti za Harusi, nipo Dar kwa yeyote anayemjua Fundi mzuri aniwekee namba zake hapa tafadhali. Please aliye na reasonable price. Thanks
0 Reactions
41 Replies
14K Views
Ndugu mpendwa husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu ENEO la ziwani hekari 30 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site, SIFA ZA ENEO...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau habari ya muda!? Mwenzenu nimeweka bajeti ya laki NNE(400,000) kwa ajili ya simu ya aina ya android!! Naombeni ushauri simu gani nzuri naweza ipata kwa hela hiyo!
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Sehemu inahitajika haraka sana , mahala ni Arusha , pakuweka Machine ya kusaga Unga. Sehemu iwe potential.
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Ni site nzuri inayofaa kwa biashara ya day care au dispensary au security guard, au hotel ina umeme na maji ndani ya fence karibu na barabara bei yake ni milioni moja kwa mwezi. ukiweza kufika...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Habari wanaJF Natafuta mtu/company inyotengeneza vitabu vya malipo kwa ajili ya comapny/organization kama nilivyoorodhesha hapo chini:- 1. Cash Book 2. Payment Voucher 3. Pretty Cash Expenses...
0 Reactions
1 Replies
886 Views
kama kuna mtu yeyote anayeweza kutumia vizuri fire extinguisher, pia kuelekeza namna ya kutumia kwa watu wengine waliopo ofisini anitafute 0624 056531 kabla ya mwezi wa nne,2018
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wenye uhitaji ujenz wa gharama nafuu wa nyumba za kisasa michoro na ushauri wa kitaalam tuna mafundi waliobobea. Tunajenga na kukamilisha kulingana na makubaliano.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau kama taarifa inavyojieleza, natafuta mdau wa kuniuzia korosho zilizobanguliwa kwa ajili ya kutuma nje ya nchi. This is a serious deal, tafadhali weka mawasiliano yako hapa nikutafute...
0 Reactions
1 Replies
766 Views
Habarini wakuu, Kichwa cha habari kinajieleza. Natafuta mashine ya kisasa ya kukamua miwa na kutengenezea juice inayopatikana hapa nchini hasa mkoani Dar es salaam ?? Mashine ya kisasa hasa zile...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Ni utaratibu gani natakiwa kufwata ili niweze kuanzisha biashara ya kokoto. Kwa maana ya kufunga KRASHA la kuvunjia mawe. Utaratibu ni upi huko serekalini? Mwenye idea na hii kazi naomba uzoefu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ndugu yangu anauza simu tajwa hapo juu Bei ni 645,000/= Imetumika kwa muda wa miezi 7. Yupo Dar es Salaam, wasiliana naye WhatsApp 0769382651
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom