Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Katika Dunia ya sasa, kuwa na Website si jambo a kujiuliza mara mbili, mfanya biashara yoyote aliye makini na biashara yake ni lazima awe na Website. Kuwa na Website siyo tu kutakufanya kuwafikia...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
CANON IR 1610. Ipo Dodoma. Inafanya kazi vizuri tu. Bei ni 400,000/= Tuwasiliane 0714-943684
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji software ya payroll system anipigia kupitia namba 0788252999 au 0713705543.Mfumo niliotengeneza unakata kodi(PAYE) kulingana na sheria ya kodi ya mwaka 2017.Mfumo ni mzuri...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Kuku shop ni wauzaji wa KUKU aina ya kuroiler. Bei zetu ni sawa na bure kabisa... Bei ya mtetea mmoja ni elfu kumi na tano (TZsh 15,000/=) Bei ya jogoo mmoja ni elfu kumi na nane (TZsh 18,000/=)...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu nawasalimu, Nina asali mbichi kutoka pande za tabora natafuta sehemu ambayo ninaweza kupata soko la uhakika pande za Dar.Kama wewe ni mnunuaji au unafahamu wanakonunua kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
32 Replies
14K Views
Nauza samsung note 3 orignal Ilidondoka nikiweka line haisomi ila inawaka vitu vingine vinafanya kazi nauza 180,000 Piga simu ama msg ama whatsap 0765114158 Napatikna tabata kimanga dsm
0 Reactions
1 Replies
610 Views
Jaman hawa watu wako eneo gani hapa Dar? Niwasambazaji wa vitabu, nahitaji vitabu, namba walioweka haipatikani
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Kuna watu /stationary humu jamii forum walitangaza wanauza vitabu aina mbambali tafadhali tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Kuna watu/stationary humu jamii forum walitangaza wanauza vitabu aina mbambali, tafadhali tuwasiliane pm
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Habari wakuu jamani naomba msaada kwa anejua vizuri soko la nyanya zinapatikana wapi kwa wingi tafadhari msaada tutani
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Iwe main road. Tuwasiliane 0684223374
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Kama inavyosomeka apo juu kwa wale wote wanaitaji huduma ya kufunga ac, kufanya service, kununua, na kuuza, matengenezo ya water pump,generator, wiring za umeme na matengenezo au marekebisho ya...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Nina shamba la Sungura wazazi 45 sasa wamefika 140 natafuta mnunuzi based ya muasisi wangu toka Kenya kuaga soko.
1 Reactions
25 Replies
11K Views
Nahitaji Samsung Galaxy C7 Used ambayo bado ipo na hali nzuri bei ndogo, mwenye nayo njoo inbox.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
fundi camera anapatikana wapi kwa hapa dar? digital yng imekufa display
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Naomba kukopeshwa 200,000/=Tsh naweka friji yangu kama bond aliye tayar anichek 0784426373.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu Poleni na majukumu ya Kujenga nchi. Kwenye thread hii utaweza kujipatia viatu vya kisasa kwa wanaume na nguo pia za kisasa. Kama utapenda chochote tafadhali tupigie simu...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Habari wakuu Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa... Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza dagaa wanafaa kwa chakula cha kuku Nili ziagiza kwa matumizi ya nyumbani lakini zime kuja tofauti ziko low quality haziku andaliwa vizuri zipo ndoo mbili kubwa tu nipo maeneo ya banana
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom