Katika Dunia ya sasa, kuwa na Website si jambo a kujiuliza mara mbili, mfanya biashara yoyote aliye makini na biashara yake ni lazima awe na Website. Kuwa na Website siyo tu kutakufanya kuwafikia...
Kwa anayehitaji software ya payroll system anipigia kupitia namba 0788252999 au 0713705543.Mfumo niliotengeneza unakata kodi(PAYE) kulingana na sheria ya kodi ya mwaka 2017.Mfumo ni mzuri...
Kuku shop ni wauzaji wa KUKU aina ya kuroiler.
Bei zetu ni sawa na bure kabisa...
Bei ya mtetea mmoja ni elfu kumi na tano (TZsh 15,000/=)
Bei ya jogoo mmoja ni elfu kumi na nane (TZsh 18,000/=)...
Wakuu nawasalimu,
Nina asali mbichi kutoka pande za tabora natafuta sehemu ambayo ninaweza kupata soko la uhakika pande za Dar.Kama wewe ni mnunuaji au unafahamu wanakonunua kwa kiasi kikubwa...
Kama inavyosomeka apo juu kwa wale wote wanaitaji huduma ya kufunga ac, kufanya service, kununua, na kuuza, matengenezo ya water pump,generator, wiring za umeme na matengenezo au marekebisho ya...
Habari zenu Wakuu
Poleni na majukumu ya Kujenga nchi.
Kwenye thread hii utaweza kujipatia viatu vya kisasa kwa wanaume na nguo pia za kisasa. Kama utapenda chochote tafadhali tupigie simu...
Habari wakuu
Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa...
Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa...
Nauza dagaa wanafaa kwa chakula cha kuku
Nili ziagiza kwa matumizi ya nyumbani lakini zime kuja tofauti ziko low quality haziku andaliwa vizuri zipo ndoo mbili kubwa tu nipo maeneo ya banana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.