Kwahiyo unapatikanaje.....maana haujaweka hata mawasiliano ya simu......utadhani umeleta tangazo la msibaKwa wenye uhitaji ujenz wa gharama nafuu wa nyumba za kisasa michoro na ushauri wa kitaalam tuna mafundi waliobobea.
Tunajenga na kukamilisha kulingana na makubaliano.