Je unamiliki duka, mini-supermarket etc? Tunauza point of sale software kwa bei nafuu kabisa gharama zinaanzia 350,000 tu.
Hii software inakusaidia kujua mauzo na manunuzi yako.
Kujua faida au...
Jamani natakata kujuzwa kwa wale wanaojua umuhimu wa kua na page ya facebook maana mimi sijui naona watu tu wanapenda kuwa facebook page je ina faida gani?
Habari wana JF
Leo tumekuja na utaalamu wa kutumia rangi kupaka ukutani kwa kutumia stencil/pattern na kuuacha ukuta ukiwa na mfanano wa wallpapers za kubandika.
- Hizi rangi hudumu zaidi...
Habari JF,
Natafuta frame maeneo ya Dar sehemu iliyo changamka. Nataka kutoa huduma ya ketengeneza kompyuta na kutengeneza simu. Mwenye nayo au mwenye ambaye anajua mtu mwenye frame tafadhari...
Nuaza kiwanja chenye ukubwa wa Square meter 400.Kipo umbali wa dk kutoka barabara kuu ya lami,Pembeni kuna nguzo ya umeme.Barabara ya mtaa ipo mpaka kwenye plot.
Bei ni 3,700,000.Unaweza kulipa...
Nyumba mbili zina uzwa dodoma... Eneo zilipo nyumba hizi ni Ntuka... Una pita Uzunguni, Kilimani (Kijiji cha mwalimu Nyerere, Ikulu iliyo jengwa kwa ajiri ya mwalimu na vijana wa JKT)
una panda...
Natafuta Nyumba nzur ya kupanga, Iwe maeneo ya Kihonda_kwa Chambo. Iwe na vyumba viwili na sebure
Bajeti : 70000/= kwa mwezi
Aliye tayari au mwenye kufahamu ilipo anichek PM
Shule ipo Mbeya mjini, km 5 toka city centre.
Mazingira tulivu ya kusomea
Ada nafuu kabisa
Bweni na kutwa
Walimu mahsusi kwa masomo
Mhula wa awali kuanzia 6/4/2017
Fomu sh 10,000 , popote...
Simu ipo kwenye hali nzuri kabisa [mint condition].
32GB
Rangi ni platinum gold
Factory unlocked
International version
Laki tano nakuachia mzigo
Bonus: waweza kukutana nami ana kwa ana.....
Habar yenu wanajukwaa,Nauza nazi nzuri zilizokomaa kutoka Pangani, Tanga. Nipo Bugurun, nauza kwa jumla. Kuna za 600,700 na 800.
Tuwasiliane 0678361222 /0659469663
Wapendwa naomba nijue sehemu ambayo naweza pata bajaji mpya yenye bei nzuri lakini pia yenye uwezo mkubwa wa kubeba mizigo na inayodumu! wenye uzoefu na vitu hivi tafadhali sana mnijuze!
Nawakilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.