Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Cartridge for Sale Free Delivery Please contact us 0719826713 or 0719210905
0 Reactions
1 Replies
551 Views
Habari wakuu. Naomba kujua, kwa hapa Dar naweza kupata wapi unga au mahindi ya njano? Kwa anaejua naweza kupata wapi naomba anielekeze. Ahsante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza iphone 6s mpya kabisa bei laki 7 kamili. Storage 16 4G Ipo poa kila kitu mpyaaaa...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Je unamiliki duka, mini-supermarket etc? Tunauza point of sale software kwa bei nafuu kabisa gharama zinaanzia 350,000 tu. Hii software inakusaidia kujua mauzo na manunuzi yako. Kujua faida au...
0 Reactions
1 Replies
552 Views
Jamani natakata kujuzwa kwa wale wanaojua umuhimu wa kua na page ya facebook maana mimi sijui naona watu tu wanapenda kuwa facebook page je ina faida gani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana JF Leo tumekuja na utaalamu wa kutumia rangi kupaka ukutani kwa kutumia stencil/pattern na kuuacha ukuta ukiwa na mfanano wa wallpapers za kubandika. - Hizi rangi hudumu zaidi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari JF, Natafuta frame maeneo ya Dar sehemu iliyo changamka. Nataka kutoa huduma ya ketengeneza kompyuta na kutengeneza simu. Mwenye nayo au mwenye ambaye anajua mtu mwenye frame tafadhari...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Simu orignal inatatizo la simcard haisomi samtims inasoma yani netwek Ni orignal vingine vyte vinafanya kazi Sijibu msg zenu hpa kma inahtaji piga simu nipo dsm 0765114158
0 Reactions
4 Replies
670 Views
Mwenye kujua jina la hizi machines na gharama zake atujuze hapa,huwa zinatumiwa na taasisi kadhaa kutinda nyasi
0 Reactions
2 Replies
971 Views
Nuaza kiwanja chenye ukubwa wa Square meter 400.Kipo umbali wa dk kutoka barabara kuu ya lami,Pembeni kuna nguzo ya umeme.Barabara ya mtaa ipo mpaka kwenye plot. Bei ni 3,700,000.Unaweza kulipa...
0 Reactions
4 Replies
844 Views
Nahitaji fundi wa milango ya kichina (ya jeshini) haraka. Mwenye namba tafadhali naomba Update. Nimefanikisha. Asanteni
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Nyumba mbili zina uzwa dodoma... Eneo zilipo nyumba hizi ni Ntuka... Una pita Uzunguni, Kilimani (Kijiji cha mwalimu Nyerere, Ikulu iliyo jengwa kwa ajiri ya mwalimu na vijana wa JKT) una panda...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Natafuta Nyumba nzur ya kupanga, Iwe maeneo ya Kihonda_kwa Chambo. Iwe na vyumba viwili na sebure Bajeti : 70000/= kwa mwezi Aliye tayari au mwenye kufahamu ilipo anichek PM
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Naitaji shamba la kukodi dsm
0 Reactions
9 Replies
968 Views
Shule ipo Mbeya mjini, km 5 toka city centre. Mazingira tulivu ya kusomea Ada nafuu kabisa Bweni na kutwa Walimu mahsusi kwa masomo Mhula wa awali kuanzia 6/4/2017 Fomu sh 10,000 , popote...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Simu ipo kwenye hali nzuri kabisa [mint condition]. 32GB Rangi ni platinum gold Factory unlocked International version Laki tano nakuachia mzigo Bonus: waweza kukutana nami ana kwa ana.....
1 Reactions
57 Replies
9K Views
Nauza home theater Aina ya Panasonic kwa bei poa ya 350,000 Nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Habar yenu wanajukwaa,Nauza nazi nzuri zilizokomaa kutoka Pangani, Tanga. Nipo Bugurun, nauza kwa jumla. Kuna za 600,700 na 800. Tuwasiliane 0678361222 /0659469663
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Unaweza kukikunja na kukunjua kwa jinsi utakavo Bei 200,000, nipo Dar es salaam! Kwa atakae hitaji nitafute kwa namb >>0766166483
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wapendwa naomba nijue sehemu ambayo naweza pata bajaji mpya yenye bei nzuri lakini pia yenye uwezo mkubwa wa kubeba mizigo na inayodumu! wenye uzoefu na vitu hivi tafadhali sana mnijuze! Nawakilisha!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom