Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari wadau, nahitaji kiwanja chenye vibali vyote kwa mjibu wa sheria kwa bei inayoanzia na 1.5 mil hadi 2mil kiwe dsm. kipaumbele ni kimara, mbezi, na maeneo mengine yanayokuwa kwa kasi. mwenye...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
*BRAND NEW SAMSUNG S7 EARPHONES IN TOWN* Jipatie sasa earphones bora za samsung s7 kwa bei nafuu sana Kwasasa mzigo unapatikana DAR ES SALAAM, DODOMA na ARUSHA kwa shilingi 5500 tu. NB: Soon...
0 Reactions
4 Replies
805 Views
Habarini wandugu, nakaribisha wadau wote wenye interest ya kujua au kuhitaji vifaa vyovyote vile vinavyohusiana na Usindikaji wa chakula, packaging, catering equipments, matumizi yake na wenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza moderm ya airtel na voda Zote kwa pamoja ni 40,000/- Moja 20,000/- Karibuni nipo DSM. Mwenye uhitaji Njoo PM
0 Reactions
1 Replies
577 Views
Kama uzi huu unavyojieleza, natafta eneo lenye muingiliano wa watu kwaajiri ya kuweka tigo pesa, Ikiwa pia unaeneo lako la kaz mf duka,bar,hotel nk na unaona nikiweka hiyo tigopesa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mimi ni mkatoliki Nina duka Katavi wateja wanakuja kila siku kukiulizia hiki kilichoandikwa na Emmiliana Kondowe sijui nikipate wapi kwa wingi ili niuze,mwenye uelewa tafadhali niPM
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kitabu kinapatikana duka la TPH lilipo Samora kwa bei ya Tsh 20000. Pia unaweza kuagiza ukaletewa. ========================== The book is available at TPH Bookshop located in Samora Avenue Dar es...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Pata huduma ya ku unlock I Phone yako ambayo ipo na I cloud Huduma ni ndani ya masaa 24 hadi siku 5 kulingana na complexity ya simu yako Tunapokea simu za aina zote Clean na Blacklisted marked...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujuzwa bei ya Hizi Machine za kuprint brand name kwenye vifungashio mbali mbali kam hizi Disposable plastic Glass na pahala zinapatikana
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jamiiforums naomba wenye kujua mshereheshaji (MC) awe wa kike au kiume ambaye yuko mahiri katika fani hiyo kabila lake awe ni MPARE halisi naomba ani PM. Haijalishi yuko sehemu gani ndani ya...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Nb. Sishughuliki na tatizo la kuongeza nguvu za kiume. Hapa nawahitaji wanandoa wanaowahi kufika kileleni na kuwaacha wenzi wao hawajaridhika, kujeni inbox niwapatie utatuzi wa shida hii. Gharama...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, mwenye setup ya metfone dashbord inayo support modem za zte / vodafone naomba anisaidie link au setup yenyewe. Nime google sana, lakini sijapata link inayofanya kazi zote ni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
INAHITAJIKA HARAKA YENYE SPECIFICATIONS ZIFUATAZO: INPUT: 100-240 VAC 0.7A OUTPUT : +15 1.7 A 50/60 Hz ( NAIHITAJI HARAKA SANA KAMA UPO DAR TUWASILIANE)
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Wasalaam Kiwanja kilichopimwa kinauzwa ,kiko NYEBURU Mita 800 kutoka barabara kuu ya lami kituo cha Italian (ukielekea Chanika upande wa kulia) SIFA ZAKE;kimepimwa kwa uzito wa chin LOW DENSITY...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Kuna construction project imepatikana mwenye mtaji njoo tushirikiane.
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Day care site for Rent Arusha For those who need a site/ house to rent special for day care in Arusha call 0653 954 094
0 Reactions
4 Replies
701 Views
Haya mzigo mpya wa Huawei Mobile Wifi Original kwa 130,000 tu na unaletewa popote ulipo Dar Buree. Piga 0715 473 462 4G portable universal router (mifi) GET #brandnew and genuine #4GUniversal...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niaje wadau kama una Nokia Obama org used na unaiuza jitokeze au njoo PM tufanye mazungumzo.
0 Reactions
2 Replies
588 Views
Na Supply Samaki (Sato) wa Bwawani, wa ukubwa kuanzia 350g - 450g. Napatikana Dar es Salaam, Tegeta Nyuki. Mawasiliano Zaidi: 0762 664123. KARIBUNi.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom