Habari zenu wakuu, hii gari aina ya Toyota 111, imepata ajari. Naitaji kuwauzia wale watu wanaochinja magari au mtu ambaye anaweza tengeneza. Imealibika sehemu ya mbele kama inavyooneka katika...
Mambo VP wakuu kama kichwa kinavyo jieleza Mimi ni mwana harakati kama blogger wa ki Tanzania nimeamua Ku run project yangu.
Mchongo upo hivi nakutafutia wateja kwa kukutangazia biashara yako...
Habari wana Jf, nimechoshwa na kazi yakuosha vyombo kila vinapochafuka hasa baada ya kuvitumia, kwa yeyote anaejua mahali zilipo mashine hizi aniambie.
Tunatengeneza sofa set quality na samani zote kwa ubora uliotukuka tupo ubungo garage na mabibo hostel njoo bei nimaelewano kulingana na unachokihitaji...
Naitwa philip nipo Arusha, Natafuta marafiki walio na nia na wito katika kufanya biasha ili kutimiza ndoto zao.
Wapo watu wengi wanatamani sna kufanya biashara lakini inakua ngumu kutokana na...
Kiwanja chanika bwaja dakika 5 kutoka barabara kuu.
Ukubwa heka 1 na nusu
Hakina udalali
Bei mil.20 tu.
Kiwanja kipo eneo tambarare na zuri unaweza ukakitumia pia kama shamba.
Piga 0629992942
Mkuu polisi kituo cha polisi bomangombe Hai, ana matatizo makubwa ya kiutendaji na tunamuomba IGP atusaidie kumhamisha na afanyiwe uchunguzi. Ni mpokea rushwa mkubwa,ni mbinafsi,na anaendeleza...
Samsung A5
GB 16 + GB 16 {M.card) GB 32
RAM 2GB
4G network
Screen Protector + Cover (OG)
Ina picha kali sana camera zote mbili
BEI YA OFFER - 350,000/=
DAR 0764 876 888
Now you can have a Complete website which is Responsive site compatible to all devices, mobile friendly site, Easy to Navigate, Search Engine Friendly, Full optimized site for business or personal...
Ndugu wadau wa ujenzi, mimi ni kijana mtanzania mwenye uzoefu wa Waterproofing aina zote kuanzia:-
Water Reservoir
Balcony
Canopy
Swimming pools
Basements.
Epoxy za Industrial
Car park
Hospitals...
Habarini wanajukwaa, naomba niende kwenye point moja kwamoja bila kuwachosha mimi nikijana mtafutaji elimu yangu nikidato cha4 lengo lakuuweka huu uzi natafuta mkoa au wilaya yoyote ile ambayo...
Habari Jf
Shukrani Njema Zimuendee Aliyeumba Hii Dunia Na Mbingu Na Vyote Vilivyomo Ndani Ni Mwenyezi Mungu Mola Mlezi Wa Walimwengu, Hakika Mwenyezi Mungu Ameumba Miti Ili iwe Tiba Kwetu Ivo Bac...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.