Habari wadau... Ninauza kiwanja chenye nyumba ya vyumba vinne na sebule,
kiwanja kipo karibu kabisa na stand mpya ya nyashishi mwanza ( mita 150 kutoka barabara kuu).
Nawakaribisha wateja wote...
Kitabu cha mafunzo ya kuandaa chakula cha mifugo - Hydroponics Fodder sasa kipo mtaani. Pata nakala yako ulipo - Tupigie simu 0655 533 543. Rejareja Tshs. 5,000/= Kwa wanaohitaji kwa jumla Tshs...
Nko chato, Wapi Naweza pata soko.
Dagaa Wanakaangwa Kw ujuzi wa hali ya juu,
Viuongo vya kawaida hutumika na mafuta safi yasiyo na harufu, ni watamu sana.
Mzigo upo jumla na rejareja.
Naombeni...
Samsung home theatre iko sokoni kwenye hali nzuri ikiwa na sifa zifatazo.
1. full hd & 3d entertainment
2. 5 speakers na sabufa
3. 2/5 wireless speakers
4. unaweza unganisha na TV na ukatumia...
Habari za asubuhi wana jukwaa,nimekua nikitafuta hivi vidude kwa muda mrefu sasa
Vinaitwa Rubik's Cubes naomba muongozo kwa yeyote anayejua kwa hapa Dar Es Salaam ninaweza kuvipata duka gani au...
Habar zenu wazee tunauza nyumba Ipo Ubungo maziwa karibu na Moveck Hotel hatua chache kutoka Ubongo bus terminal, Ukubwa sqm 25×35, Ina hati, vyumba vitatu, master moja, sitting/ dining room...
Kutrade, kutrade...ni nin..??
Biashara yoyote huusisha kununua na kuuza...hivo 2 ndo huonyesha uwepo wa biashara(trading)
Unanunua kwa bei ya chini na unauza kwa bei ya juu
Na coin ndivo ilivo...
Mzigo huo, changarawe mahsusi kwa wachimba visima na wajenzi zinatumika kuweka floor ya tarazo na linta pia mzigo upo mwingi kama unahitaji nicheki inbox kwa maelezo zaidi na bei, nauza kwa piece...
Kiwanja cha square metres 592,kinauzwa 15M..kipo mbezi msumi 'C'...,kina miti ya miembe na ni tambalale...!
Kina umbali wa dak 2-3 kutoka barabarani (main road..) only seriously buyer's...check on...
Wadau nahitaji external hard disk bei ni maelewano pesa ipo cash .. msingi uwe dar au shinyanga mjini , ikiwa na maana kwa dar ni rahisi kufanya biashara maana nina connection pia shinyanga kuna...
Ni simu bomba kwa bei poa kabisa ukumbuke simu hizi ni mpya Full Box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano 0652971495
Mate 10: 64gb...1,130,000
Mate Pro 128gb...1,200,000...
Habari wakuu,
Nauza majiko ya kisasa yanayotumia mkaa kidogo kutoka kampuni ya burnstoves.
Yapo matatu na kila moja nauza Tshs.100,000/= kama una pungufu unaongea.
Nipo Dar es Salaam,
Namba...
Habari wanajukwaa,
Nauza simu aina ya Samsung galaxy grandprimes plus. Simu ni used.
Sifa zake:
1. Ina kioo cha inchi 5
2. Memery ya ndani GB 8
3. R.A.M 1.5GB
5. Kamera ya nyuma 8MP,ya mbele 5 MP...
Punguzo la bei katika msimu huu wa Pasaka, pata Business Cards Pcs 100 kwa 15,000/- tuuu...
Tunapatikana Kariakoo, mtaa wa Kongo na Kariakoo, karibu na mgahawa wa Madina.
Piga simu au Whatsapp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.