Nahitaji Earphones wakuu kwa jumla

Nahitaji Earphones wakuu kwa jumla

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,607
Reaction score
4,769
Nahitaji earphones nipo arusha Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo njoo pm Au njoo watssap 0624015663
 
nenda kwa mangi, shirima, massawe, fred, mwacha wote wanazo tena buku buku tu
 
Nahitaji earphones nipo arusha Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo njoo pm Au njoo watssap 0624015663

Mkuu nauza earphones za samsung original kwa bei ya jumla 5000tsh
827132604b1520b561d2debbfd6ce1e9.jpg
 
Nahitaji earphones nipo arusha Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo njoo pm Au njoo watssap 0624015663
Nicheki niku uzie kuna za 1500..na kuendelea za samsung nitakufanyia 3500 sawa na za ofia na k-ysel... Pia charger..cover..glass protector ninazo jumla kuanzia pic tano.. Nicheki kwa namba hizi 0754660061
 
Nahitaji earphones nipo arusha Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo njoo pm Au njoo watssap 0624015663
Sample za earphone hizi... Zipo za aina nyingi zaidi ya hizi na bei tofauti kuanzia 1500 na kuendelea kwa bei ya jumla na jumla kuanzia pic tatu
IMG_20180416_154415.jpg
IMG_20180416_154312.jpg
IMG_20180416_154323.jpg
IMG_20180416_154302.jpg
 
Back
Top Bottom