Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.
Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo...
Wale wanaotarajia kununua king'amuzi cha DStv baada ya March 30 utafaidi miezi miwili ya bure kabisa channel za kufa mtu.
Ukinunua baada ya hapo hutapata miezi miwili ya bure.
Nimewapa tu taarifa!
DAVIS CROSSBREEDING
Ni Wazalisaji wa vifaranga chotara, Bata aina zote, kanga, kware, Njiwa wa kizungu na kuku wanaotaga mayai ya blue. Vifaranga wazalishwao na Davis crossbreeding ni wazuri...
Habari, tumeanza program mpya ya Nursery Teaching course, sifa muhimu ni mwambaji awe amehitimu kidato cha nne na kufaulu kwa D tatu ikiwemo English language. "learning for life"
Call us today...
Angalia picha hapo chini ni blog mojawapo ya kilimo nilotengeneza .
Miliki blog yako sasa uweke mawazo yako ya kilimo watanzania wasome wanufaike na maarifa yako
Nichek hapa 0759146185
utaelekezwa...
tunatowa huduma ya kuuza vitambu mbalimbali vya ujasiliamali pamoja na kutowa ushauri na aidia za biashara mawasiliano 0713503753 au kaisinandure@gmail.com pia unaweza ukani pm
Habari wanajamvi?
Wakuu nauza vifaranga vya broiler parent stock, vifaranga ni kutoka India, kifaranga kimoja ni 8,000/-
Pia nauza vifaranga na fertifilized eggs ya kuku aina Rainbows kutoka...
GOOD NEIGHBOUR REAL ESTATE DODOMA
Huduma za viwanja,mashamba,nyumba.Bei zetu kwa ekari moja ni kuanzia laki 5,milioni 1,1.5m,2m mpaka
milioni 6,10 na nusu ekari kwa nusu ya gharama zilizotajwa...
Habari wakuu
Naomba kuuliza kama kuna mtu anayefanya au anayejua hii biashara ya kuuza mashuka ya kimasai kuhusu bei na mahali yanapopatikana kwa dsm. Asanteni
Simu hizi ni mpya Full box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano ni 0652971495
S8 Plus = 1,250,000/=
S8 = 1,170,000/=
Note 8 = 1,570,000/=
S7 Edge = 700,000/=
S7 = 550,000/=
S6...
Epuka usumbufu wa kuchomeka na kuchomoa mara kwa mara, kwa kutumia cable hizi za kisasa za sumaku.
Sifa zake:
> Zimetengenezwa kwa material ngumu na hivyo ni zinadumu muda mrefu
>Zina support...
Habari ndugu zangu wanajamvi!
Kwa mda sasa kumekuwa na changamoto kubwa ya kupata mbengu za viazi lishe kwa Wakulima na inapopatikana imekuwa ikiuzwa kwa mche mmoja mmoja kwa shilingi za...
Habari wakuu
Naomba kuuliza kama kuna mtu anayefanya au anayejua hii biashara ya kuuza mashuka ya kimasai kuhusu bei na mahali yanapopatikana kwa Dar es salaam asanteni.
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.