Nock Member Joined Feb 14, 2018 Posts 45 Reaction score 23 Apr 16, 2018 #1 Naitwa Enock, napatikana Mbeya, mimi ni fundi wa kutengeneza sofa pamoja na vitanda vya sofa. Napokea oda pia kama ukihitaji. Mawasiliano yangu ni 0652874876, 0621053216 na 0758079171
Naitwa Enock, napatikana Mbeya, mimi ni fundi wa kutengeneza sofa pamoja na vitanda vya sofa. Napokea oda pia kama ukihitaji. Mawasiliano yangu ni 0652874876, 0621053216 na 0758079171
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,162 Apr 16, 2018 #2 Weka bei usituchoshe kujiuliza maswali yasojibika
Nock Member Joined Feb 14, 2018 Posts 45 Reaction score 23 Apr 16, 2018 Thread starter #3 zeshchriss said: Weka bei usituchoshe kujiuliza maswali yasojibika Click to expand... Kwa vitanda bei ni; 3 kwa 6 ni tsh 150,000 4 kwa 6 ni tsh 200,000 5 kwa 6 ni tsh 250,000 6 kwa 6 ni tsh 300,000 Kwa sofa bei inategemea na aina ya sofa pamoja na kitambaa lakini zipo za kuanzia tsh 500,000 na kuendelea kwa seti 1.
zeshchriss said: Weka bei usituchoshe kujiuliza maswali yasojibika Click to expand... Kwa vitanda bei ni; 3 kwa 6 ni tsh 150,000 4 kwa 6 ni tsh 200,000 5 kwa 6 ni tsh 250,000 6 kwa 6 ni tsh 300,000 Kwa sofa bei inategemea na aina ya sofa pamoja na kitambaa lakini zipo za kuanzia tsh 500,000 na kuendelea kwa seti 1.
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,162 Apr 16, 2018 #4 La watu wawili sh ngapi
Nock Member Joined Feb 14, 2018 Posts 45 Reaction score 23 Apr 16, 2018 Thread starter #5 zeshchriss said: La watu wawili sh ngapi Click to expand... Ni tsh 230,000