Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, nahitaji CRT monitor. Kwa mawasiliano karibu pm.
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Nyumba inauzwa ipo mbez beach kituo makonde ina vyumba viwili ,jiko ,choo ,sebule ,pia nyuma kuna nafasi kuongeza vyumba viwili zaidi bei ni 26mil kwa mawasiliano 0742597424
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu Habari zenu... Kiwanja Kizuri Sana
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Pawahost.com for websites , systems , (from school, hospitals, real estate, tourism, or any other business) We are here to make it happen and at affordable cost Domain name 25000/- Hosting...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Nahitaji stout pick up 2200 single cabin popote pale ilipo nitaifuata mwenye nayo anitumie picha , mara Nyingi hii huwa zinapatikana Moshi vijijini
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza mashine ya bisi bado ipo katika hali nzuri na inafanya kazi vizuri sana, inapatikana Nyanguge-Mwanza, bei 280000(laki mbil na 80) maongezi kidogo yapo. Nichek 0625782871.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba tuition kutoka kwa members wenye uzoefu hapa JF.Je nikiishazinunua,utaratibu wa kubadili jina ili zisomeke kwa jina langu huko kwenye makampuni ya simu ukoje ? ILI NIANZE KUZITUMIA...
0 Reactions
2 Replies
915 Views
Habari wana jf Nauza simu ya Nokia C3-00....ni nzuri bado imetumika miezi 2.... Bei sema yako ikiniridhisha nakutoa..nipo dsm
0 Reactions
7 Replies
1K Views
simu yangu ya htc disire 320 muda mwingine inawaka na kutumia bila shida ila kuna muda inawaka na kurestart. Na ukiizima ukiweka chaji inajiwasha. Nafanyaje? Hili tatizo liishe.
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Tuna utaalamu wa kuandaa maandiko ya miradi (feasibility studies/business plans) kwa ubora wa hali ya juu. Kama unahitaji contact 0766805757.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Preferably kinondoni! Umeme Maji Wapangaji wasiwe wengi! Nikipata bila dalali itapendeza zaidi!
0 Reactions
52 Replies
3K Views
Ni mpya kabisa hazijawahi kutumika ipo Samsung na LG bei laki 7 fixed price zinapatikana kwa order unapokea mzigo baada ya saa 24
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mtu ambaye anajua simu pamoja na bei zake hatobishana nami kwa simu hii. Serious buyer DM or WhatsApp/Call +255 712 418 986. Nipo Dar Sifa zake: Samsung galaxy c7 pro 64HD, 4GB RAM SINGLE...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari!! Natafuta Airtel UNI vocha za usiku zile za wanafunzi wa chuo kama hiii hapa aliye nazo au anajua nani anazo naomba kupata kujua. Mfano wa hizo vocha nimeambatanisha chini hapo[emoji1313]...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
On sale used lenovo thinkpad x220 medium pc, processor core i5-2520M,ram 4gb,hdd 320gb,bluetooth,fingerprint,sd card reader,hdmi slot,3 usb hub,screen size 12.5" led backlight,webcam,inakaa na...
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Wanajamvi husika na habari tajwa hapo juu Mimi NATAFUTA Frem kwa ajili ya saloon kwenye sehemu zilizochangamka au zenye watu wengi,pawepo na movement kubwa ya watu maeneo ya UHASIBU DAR NA...
1 Reactions
2 Replies
875 Views
Kwa bloggers ambao wanataka manufaa kwa blog zao na kuweza kutengeneza hadi $6000 per day is very simple. Kama tunavyojua blogger wengi wamekuwa hawana uwezekano WA ku boost page kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
604 Views
Wakuu juzi nilileta Uzi hapa kuomba msaada baada ya mtoto kupasua kioo cha TV, nashukuru nilipata mafundi wazuri sana k/KOO nimewekewa kioo kipya KWA Tsh.350,000/=, saizi mambo safi kama...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wandugu Naomba kuuliza bei( bei ya jumla) na mahali wanaponunua haya mashuka ya mtumba kwa hapa DSM.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom