Nyumba inauzwa ipo mbez beach kituo makonde ina vyumba viwili ,jiko ,choo ,sebule ,pia nyuma kuna nafasi kuongeza vyumba viwili zaidi bei ni 26mil kwa mawasiliano 0742597424
Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili...
Pawahost.com for websites , systems , (from school, hospitals, real estate, tourism, or any other business)
We are here to make it happen and at affordable cost
Domain name 25000/-
Hosting...
Nauza mashine ya bisi bado ipo katika hali nzuri na inafanya kazi vizuri sana, inapatikana Nyanguge-Mwanza, bei 280000(laki mbil na 80) maongezi kidogo yapo. Nichek 0625782871.
Wakuu naomba tuition kutoka kwa members wenye uzoefu hapa JF.Je nikiishazinunua,utaratibu wa kubadili jina ili zisomeke kwa jina langu huko kwenye makampuni ya simu ukoje ? ILI NIANZE KUZITUMIA...
simu yangu ya htc disire 320 muda mwingine inawaka na kutumia bila shida ila kuna muda inawaka na kurestart. Na ukiizima ukiweka chaji inajiwasha. Nafanyaje? Hili tatizo liishe.
Kwa mtu ambaye anajua simu pamoja na bei zake hatobishana nami kwa simu hii.
Serious buyer DM or WhatsApp/Call
+255 712 418 986. Nipo Dar
Sifa zake:
Samsung galaxy c7 pro
64HD, 4GB RAM
SINGLE...
Habari!! Natafuta Airtel UNI vocha za usiku zile za wanafunzi wa chuo kama hiii hapa aliye nazo au anajua nani anazo naomba kupata kujua. Mfano wa hizo vocha nimeambatanisha chini hapo[emoji1313]...
On sale used lenovo thinkpad x220 medium pc, processor core i5-2520M,ram 4gb,hdd 320gb,bluetooth,fingerprint,sd card reader,hdmi slot,3 usb hub,screen size 12.5" led backlight,webcam,inakaa na...
Wanajamvi husika na habari tajwa hapo juu Mimi NATAFUTA Frem kwa ajili ya saloon kwenye sehemu zilizochangamka au zenye watu wengi,pawepo na movement kubwa ya watu maeneo ya UHASIBU DAR NA...
Kwa bloggers ambao wanataka manufaa kwa blog zao na kuweza kutengeneza hadi $6000 per day is very simple. Kama tunavyojua blogger wengi wamekuwa hawana uwezekano WA ku boost page kutokana na...
Wakuu juzi nilileta Uzi hapa kuomba msaada baada ya mtoto kupasua kioo cha TV, nashukuru nilipata mafundi wazuri sana k/KOO nimewekewa kioo kipya KWA Tsh.350,000/=, saizi mambo safi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.